Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Italia kama wawili mpaka sasa wana kadi za njano mbili na hawatacheza nusu fainal in case wakiingia,mtelezo kwa Iceland ama France
 
Kwa kweli kwa beki mzoefu kama yule kuruka kama ana cheza volleyball wacha wamtukane
e3beaa46828985b1c9a7870bf79abd2b.jpg
 
Hapo watakao amua ni goalkeepers
mkuu humwoni mjerumani anavyohaha apate bao ndani ya hizi dakika zilizobak? anajua akifka matuta habar imeisha. na mrumi anachofanya anambembeleza jamaa aende matuta akamchinjilie mbali, hahaha #mpira techniq
 
mkuu humwoni mjerumani anavyohaha apate bao ndani ya hizi dakika zilizobak? anajua akifka matuta habar imeisha. na mrumi anachofanya anambembeleza jamaa aende matuta akamchinjilie mbali, hahaha #mpira techniq
Mmnh Germany wee
 
Game ipo tight na kila timu inajitahidi kwenda kwenye matuta.

Italy bado hawajafanya mabadiliko! oh No hold on, Italy sasa wanafanya mabadiliko.

Lorenzo Insigne anaingia badala ya Eder.
 
Back
Top Bottom