ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mimi sitofanya sherehe kila siku nasemaTatizo unatakiwa ufanye sherehe na usaini karatasi ili uonekane una ndoa....
Makaratasi nitasign ya kufa na kuzikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sitofanya sherehe kila siku nasemaTatizo unatakiwa ufanye sherehe na usaini karatasi ili uonekane una ndoa....
Asikudanganye mtu hakuna cha kuchunguzana wala nini, ukimchunguza sana binadamu utakuta madhaifu kama 100 na ushee, na kila ukichunguza utabaini mengi zaidi, na kila achunguzae sana haoi, mwisho wake huishia kula tunda kimasihara na kutokomea. Kama huamini fuatilia hili kwenye jamii zetu utabaini ukweli.Hongera mkuu, inaonekana mda wa uchumba uliutumia vizuri katika kuchunguzana.
Unasherekea miaka 10 ya kugongewa bila kujua?😂Habari wadau, nikiwa nipo mbioni kuelekea kuadhimisha miaka 10 ya ndoa yangu leo hii nimeona nitoe ujumbe mfupi tu kwa wanaume kama mimi maana watoto wa kiume kwao sio rahisi kuiweza ndoa.
1. Ndoa ni sawa na gereza ambalo tofauti iliyopo kwa gereza la kawaida ni kwamba gereza la ndoa mfungwa huchagua mfungwa wenziwe wa kuishi nae gerezani.
2. Ndoa ni kipimo cha akili kwa maana wenye akili pekee ndio watakaoiweza ndoa kwani wasio na akili mapema sana huamua kujitoa.
3. Ndoa ni kipimo cha uvumilivu, hapa sasa kila mmoja na uwezo wake kwenye kuvumilia mambo yaliyomo ndoani, kuna uvumilivu kwa mambo na aina tofauti. Na wasio wavumilivu huishia ugomvi usiokwisha ikiwemo kupigana na mwisho wa siku kuishindwa ndoa.
4. Lakini pia ndoa ni kipimo cha utu, hapa sasa nataka niweke bayana baadhi ya mambo. Kuoa sio kwa ajili ya kupata watoto tu kwani hata watu wasio na ndoa wanao uwezo wa kupata watoto, isipokuwa utofauti uliopo watoto wanaolelewa na wazazi wao wakiwa ndoani hadi kufikia kuwa wakubwa huwa na makuzi mazuri sana.
Hasa ikichangiwa na wazazi wakiwa ni washika dini ipasavyo na hapa ndio pale ambapo utofauti wa mtoto aliyelelewa na wazazi wake na mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja huonekana. Wazazi huweza kusaidiana majukumu mbali mbali ya kimalezi na kadhalika hiyo yote ni katika kuhakikisha watoto wao wanawalea katika misingi iliyo bora, huo ndio utu.
Kuwa na ndoa ni kitu ambacho kila mwanaadamu hutamani kuwa nacho isipokuwa baadhi ya matatizo, makuzi, nyendo na baadhi ya tabia ndio ambazo hupelekea baadhi yetu kuzishindwa ndoa. Kitendo cha kukosa utu ni kama vile kumuachia mwanamke mtoto alee peke yake, au mtoto kulelewa na mama mwengine asiye mama yake wa kumzaa, kitendo ambacho aidha kitapandikiza chuki kwa mtoto dhidi ya baba yake au mama yake.
Mwisho kabisa napenda niseme "Ndoa ni kwa wanaume na sio watoto wa kiume"
Ahsante.
Upo vizuriMimi sitofanya sherehe kila aiku nasema
Makaratasi nitasign ya kufa na kuzikana
Wewe kwani hutaki ukilala unamkumbatia mtu badala ya mto!Upo vizuri
Kizazi changu kipi hicho ?Endapo wewe ukiwa haupo kwenye ulimwengu huu basi umeacha athari ya kizazi chako.
Hata akiwa mbovu ni sawa tu ilimradi maisha yanakwenda. Then unagonga wa wenzio basi nakutahadharisha tu jiunge na team kataa ndoa. Maana uchungu wa kugongewa hauwezi kukukwepa endapo utaoa. Malipo ni hapa hapa duniani.Unasherekea miaka 10 ya kugongewa bila kujua?😂
Hakuna mke wa mtu aliewahi nikataa otherwise wako Ni mbovu
Hatukatai kuishi kinyumba baina ya mwanamke na mwanaume, hatukai watoto kulelewa kimaadili wakiwa chini ya uangalizi wa wazazi wote wawili, hatukatai mahusiano yana kupanda na kushuka ivyo kuvumiliana na kusameheana ni muhimu. Tunachokataa ni ule mkataba mnaotakiwa kuusaini kwa sababu vifungu vyake vinamkandamiza mwanaume pale ndoa inapovunjika.Habari wadau, nikiwa nipo mbioni kuelekea kuadhimisha miaka 10 ya ndoa yangu leo hii nimeona nitoe ujumbe mfupi tu kwa wanaume kama mimi maana watoto wa kiume kwao sio rahisi kuiweza ndoa.
1. Ndoa ni sawa na gereza ambalo tofauti iliyopo kwa gereza la kawaida ni kwamba gereza la ndoa mfungwa huchagua mfungwa wenziwe wa kuishi nae gerezani.
2. Ndoa ni kipimo cha akili kwa maana wenye akili pekee ndio watakaoiweza ndoa kwani wasio na akili mapema sana huamua kujitoa.
3. Ndoa ni kipimo cha uvumilivu, hapa sasa kila mmoja na uwezo wake kwenye kuvumilia mambo yaliyomo ndoani, kuna uvumilivu kwa mambo na aina tofauti. Na wasio wavumilivu huishia ugomvi usiokwisha ikiwemo kupigana na mwisho wa siku kuishindwa ndoa.
4. Lakini pia ndoa ni kipimo cha utu, hapa sasa nataka niweke bayana baadhi ya mambo. Kuoa sio kwa ajili ya kupata watoto tu kwani hata watu wasio na ndoa wanao uwezo wa kupata watoto, isipokuwa utofauti uliopo watoto wanaolelewa na wazazi wao wakiwa ndoani hadi kufikia kuwa wakubwa huwa na makuzi mazuri sana.
Hasa ikichangiwa na wazazi wakiwa ni washika dini ipasavyo na hapa ndio pale ambapo utofauti wa mtoto aliyelelewa na wazazi wake na mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja huonekana. Wazazi huweza kusaidiana majukumu mbali mbali ya kimalezi na kadhalika hiyo yote ni katika kuhakikisha watoto wao wanawalea katika misingi iliyo bora, huo ndio utu.
Kuwa na ndoa ni kitu ambacho kila mwanaadamu hutamani kuwa nacho isipokuwa baadhi ya matatizo, makuzi, nyendo na baadhi ya tabia ndio ambazo hupelekea baadhi yetu kuzishindwa ndoa. Kitendo cha kukosa utu ni kama vile kumuachia mwanamke mtoto alee peke yake, au mtoto kulelewa na mama mwengine asiye mama yake wa kumzaa, kitendo ambacho aidha kitapandikiza chuki kwa mtoto dhidi ya baba yake au mama yake.
Mwisho kabisa napenda niseme "Ndoa ni kwa wanaume na sio watoto wa kiume"
Ahsante.
Nataka,Wewe kwani hutaki ukilala unamkumbatia mtu badala ya mto!
😀😀😀Narudia tena chonde chonde narudia tena chonde chonde
Sasa mimi inanisaidia nini hiyo ya mababu zangu kuwa na mababu zaoInamaana huelewi kuwa wewe mwenyewe ni athari ya kizazi cha mababu zako, au hujui kama mababu zako walizaliwa na hata wao pia walikuwa na mababu zao hadi kufikia wewe!
Yeah! Mkitoka kanisani mnaenda honeymoon kula chakula cha usikuNataka,
Ila isiwe tukio, mara harusi mara sendoff nini....
Naamini watu wawili kukubaliana kushare maisha kuna nguvu kuliko kufanya matukio ya kufurahisha watu
Labda kusaini cheti tu ndo muhimu
Umesomeka na kueleweka barabara.Hatukatai kuishi kinyumba baina ya mwanamke na mwanaume, hatukai watoto kulelewa kimaadili wakiwa chini ya uangalizi wa wazazi wote wawili, hatukatai mahusiano yana kupanda na kushuka ivyo kuvumiliana na kusameheana ni muhimu. Tunachokataa ni ule mkataba mnaotakiwa kuusaini kwa sababu vifungu vyake vinamkandamiza mwanaume pale ndoa inapovunjika.
Hata kanisani sitaki aisee🤣Yeah! Mkitoka kanisani mnaenda honeymoon kula chakula cha usiku
Hakuna faida napata mimi kuwepo hivyo hakuna hasara nisingekuwepo.Ndio maana wewe upo kwasababu ni kizazi chao.
Mimi nitaenda kanisani na mchumba anguHata kanisani sitaki aisee🤣