Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Huu ni uzi wa kutambiana. Angalieni msije mkapigana.Napita tu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji125]
 
kwa taarifa yako kuna watumishi wanaolipwa zaidi ya huyo daktari aliyekaa miaka tisa darasani
 
Alaf walimu wengi haswa wa secondary ni washirikina
 
Taja nchi yoyote nyingine iliyowahi kufanya hivyo hata kama ni enzi za ujamaa.

Mwalimu wa History alipwe sawa na daktari!!

Kwangu naona hata walimu wa sayansi wanatakiwa walipwe zaidi ya wale wa Sanaa.
 
Ndio nimemjibu huyo mtoa mada kuwa haiwezekani mtu anayeunga mifupa ya binadamu eti alipwe sawa na mtu anayekalilisha "videfiniton"

Mbona watu wanakwenda India kutibiwa?na kwa nn hawaendi kufundishwa "civics"?inawezekana madakitari wengi hawana mchango mkubwa kwa jamii,huenda pia wamekaririshwa tu
 
Huu utakuwa ni uwendawazimu na bangi. Ni ujinga wa hali ya juu na hayo ni mawazo ya kimaskini.
Kila kada inatoa mchango tofauti kwa taifa na ina changamoto zake, hivyo sio sawa kutaka kutafuta usawa katika kuwalipa.
Anayelipwa Vizuri aendelee kulipwa vizuri na anayelipwa kidogo anapaswa aanze kulipwa vizuri.
Kila ajira na ujira wake.

Kumshusha chini anayelipwa vizuri ili alingane na wa chini ni sawa sawa na kumzuia wa chini asilipwe vizuri kama yule wa juu anayelipwa vizuri.
 

Lakini Mkuu kada nyingine wanatumika sana kwenye Kazi, muda mwingine wanafanya Kazi mpaka saa nne usiku. Naona pia wangeangalia majukumu ya kazi katika kada husika
 

ukubwa Wa mshahara hautegemei idadi ya miaka ya kukaa darasani, punguza ujinga. ingekuwa hivyo wanasheria mbona wanakaa miaka mitatu/minne darasani (ngazi ya degree) lakini wanapata mshahara mkubwa kuliko Wa hao madakatari wanaokaa miaka mingi darasani
 
angalia mwalimu anafanya kazi masaa mangapi kwa wiki linganisha na daktari af urudi utuambie vizuri

hoja yako haina mashiko! hebu niambie kati ya askari jeshi na hakimu nani anafanya kazi kwa Masaa mengi harafu nani analipwa mshahara mkubwa
 
mwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!

hahahahaha! kweli kati ya wale watu 4 wewe ndiye kichaa. yaani unataka mishahara ilipwe kwa kuangalia div aliyoipata MTU. hivi MTU aliyepata div 1 anazuiliwa kusma ualimu. lkn pia mbona hata upande Wa madaktari wapo wenye div. 3 au umekaririshwa
 
Haina haja ya kuweka debate kuhusu mshahara wa mwalimu
Ipo wazi kwamba walimu wanalipwa pungufu ukilinganisha na sekta nyingne

Au tunataka had TWAWEZA waje ku confirm

sina uhakika na hizi taarifa zako
 
Watu bwana. Mishahara haiwezi ikafanana hata siku moja. Engineer atazidi kulipwa mshahara mkubwa zaidi ya askari. Daktari atalipwa mshahara mkubwa zaidi ya mwalimu. Hivi nani anataka akasome miaka 5 na zaidi ili aje alipwe sawa na mtu aliyesoma miaka 3. Mwisho wa siku wale wanaotumia miaka mingi kusoma hawatakuwepo maana kunakuwa hakuna mantiki ya kupoteza miaka yote hiyo. Nani atataka akasomee udaktari kama kuna shortcut itakayokulipa sawa na daktari.

Daktari ambaye anahitimu masomo yake, atamkuta mwenzake aliyeenda kusomea kozi nyingine ameshamaliza Masters wanapoingia Mtaani.

Msiombe vitu visivyowezekana.
 
Mbona watu wanakwenda India kutibiwa?na kwa nn hawaendi kufundishwa "civics"?inawezekana madakitari wengi hawana mchango mkubwa kwa jamii,huenda pia wamekaririshwa tu
Tatizo la walimu hamujui munachokifanya, munatumikishwa sana njaa tu imewajaa,halafu mtu kupewa rufaa inategemea na utaalaamu na vifaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…