Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ww bwana mdogo ni dokta kweli??Nani kasema haunitoshi na hata usiponitosha kuna overtime, night, calls, procedures, bima, part time hapo sijazungumzia clinic, unajua MMED anakula ngapi serikalini?.... ni mishahara ya miezi 5 ya mwalimu mwenye degree, intern doctor tu wanakula 1. 2M yaani katoka tu MD 5 hata leseni hana, halafu ninyi muliofeli na kushindwa kusoma udaktari na pharmacy wengi wenu ndio walimu, munakuja kutusumbua na visredi vyenu vya kipuuzi, nani alikukataza kugonga one six ukachue jiwe lako la MD pale MUHAS pengine ungekuwa una superspeciality in hepatogastroentelogy sasa unakula zaidi ya 5M/months.
Umelipokea andiko langu kwa mtizamo hasi.. hakuna niliposema waliosoma arts ni villaza. na hakuna niiposema waliosoma uhasibu au ualimu hawakusoma sayansi.
kada zote zinategemeana, hakuna engineer bila mwalimu, nahakuna shule bila engineer. lakin ni jambo la busara kuzipa kipaumbele baadhi ya kada kwa sababu njia yake ni ngumu kuliko kada nyingine, lengo likiwa kuwatia moyo watoto kupenda kada husika japo wanajua ni ngumu.
kutokana na ugumu uliopo wa kuwa engineer kamili, engineer akilipwa sawa na mwalimu watoto watachagua kuwa walimu na tutakosa kada hiyo.
achana na mambo ya passion mkuu.. sijui mambo ya wito.... hayo ilikuwa zamani. siku hizi mafanikio ya kimaendeleo ndo suala la msingi.
ok, tushafunga mjadala. tunatofautiana namna ya kuwasilisha jambo lakin mtizamo wetu upo sawa katika mada hii ya kulinganisha mishahara.Pengine urekebishe namna yako ya kuwasilisha mitazamo yako kwani waweza kuwa waongea kitu chenye ukweli pasipo matumizi ya kejeli kama "degree za kwenye vimbweta "...... lazma ukijiweka hasi,hakuna wa kukuchukulia chanya na pia sintokulazimisha kubadilisha mitazamo yako katika maisha kwa kuwa ninaamini umepevuka vya kutosha katika kujiamulia njia gani ni sahihi kwako kuifuata
Turudi katika mada husika....
Haitotokea kamwe kada zote kuwa na mshahara sawa hata siku moja kwa kuwa ni mambo mengi huchangia katika kuamua kiasi cha mshahara na wala haiepukiki kwa mfano : uhaba wa wataalamu hupelekea thamani yao kupanda kuliko wale ambao hupatikana ki rahisi, umuhimu wa kada husika kutokana na mahitaji na sera ya nchi husika n.k
vp na we umeungaunga nini mbona maneno makali? haya say wote wameunga unga we usome miaka yako mitano ya kuunga unga huo ualimu wako ulinganishe na afya aliyesoma miaka 9? mwalim mwenyewe wa civics au history?hoja yako ya kipuuzi, kwani kwenye afya hakuna wanaoungaunga mpaka ngazi ya degree au masters?
Vipi, hii itahusu na sekta binafsi?habari wanandugu!
Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.
kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani Moja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.
kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya Wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi Wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu Wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri
katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu Wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu. yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti
by mkulima Wa nyanya
Hivi ww bwana mdogo ni dokta kweli??
Mbona mwaka 2015 ulikuwa kidato cha nne na baba yako mkubwa alikudhulumu mali za urithi??
Unayocomment mengine hata huyajui bali umesikia tu story za vijiweni!!
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/837729/
changamoto gani kuzidi walimu?.Unadhani utapata watumishi wa afya wazuri bila walimu wazuri?Ni Tanzania tu,unapokumbana na mawazo mafupi kama haya.Unadhani inawezekana hivi changamoto za idara ya afya unaifananisha na idara ya elimu?
Ufananisho huu unatumia hoja ipi Mkuuu
Waalimu ni wengi mno. Ukipandisha sana mishahara ya kada hii nchi itafilisika.Wewe mawazo yako ni finyu sana, yaani mimi nilieyekaa darasani miaka 5 ya udaktari, mwaka mmoja intern, nilingane na wewe wa miaka 3, si itakuwa maajabu haya, Hilo halitakaa litokee, unajua strength ya shule ya medicine wewe?
habari wanandugu!
Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.
kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani Moja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.
kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya Wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi Wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu Wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri
katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu Wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu. yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti
by mkulima Wa nyanya