Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

[emoji23][emoji23][emoji23] watumishi wa umma bwana ivi wanaota kuhusu mabadiliko ya mshahara bado duh kweli mbatata ni wengi nchi hii.
 
hatuna shida na wewe, wasalimie milembe
Haya makauxho mwaka uu niadje teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh ko uyo mchz n miongon mwa wanamilembe hahahahahahahahahaha
 
Mtoa mada pongezi kwa kutoa dukuduku lako.ila napenda kukumbusha kuwa mshahara kupangwa unazingatia mengi ikiwemo idadi ya miaka kusoma vyuoni, risk ya mtoa huduma ( magonjwa, ajali nk), uhaba wa wataalamu wa kada husika .mazingira ya kazi., hivyo hoja yako itakua na mashiko zaidi tu mfano kusema wahasibu ndani ya taasisi zinazofanana kisheria yaani mfano wakala wa serikali (tamesa. Ttsa ) Au mamlaka km tanapa tfda na tra au kampun xa serikali km tanesko na ttcl nk
 
Kuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
hili labda aende Jupiter mkuu
 
Mbona unaongea kana kwamba umevamia fani!!!!!!!!!..........

si kila anayesoma sayansi ana upeo mkubwa kuliko wale wanaosomea masomo mengineyo na pia si kila anayechukua course zilizo tofauti na za sayansi vyuoni, alipitia masomo ya biashara na sanaa

kuna watu walipitia mzumbe kusoma baf na walitokea pcm,pcb,pgm na sio failures...

Kitu ulichokosa katika maisha yako ni passion katika uliyoyasoma ndiyo maana ulikuwa ukiyaona ni mateso lakini kwa wengineo ilikuwa ni furaha kwao kutimiza ndoto zao....

Ninamuheshimu kila mtu na kada yake na siwezi kuiona ni bora kuliko nyinginezo....
Umelipokea andiko langu kwa mtizamo hasi.. hakuna niliposema waliosoma arts ni villaza. na hakuna niiposema waliosoma uhasibu au ualimu hawakusoma sayansi.

kada zote zinategemeana, hakuna engineer bila mwalimu, nahakuna shule bila engineer. lakin ni jambo la busara kuzipa kipaumbele baadhi ya kada kwa sababu njia yake ni ngumu kuliko kada nyingine, lengo likiwa kuwatia moyo watoto kupenda kada husika japo wanajua ni ngumu.

kutokana na ugumu uliopo wa kuwa engineer kamili, engineer akilipwa sawa na mwalimu watoto watachagua kuwa walimu na tutakosa kada hiyo.

achana na mambo ya passion mkuu.. sijui mambo ya wito.... hayo ilikuwa zamani. siku hizi mafanikio ya kimaendeleo ndo suala la msingi.
 
Ndio nimemjibu huyo mtoa mada kuwa haiwezekani mtu anayeunga mifupa ya binadamu eti alipwe sawa na mtu anayekalilisha "videfiniton"
juma ni mtoto wa mtoto wangu kwa hiyo juma ni.......... wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa atakua anatania yaani huyu nae alipwe sawa na doctor?
 
Mwambie huyo!
Ajibu swali hili kwanza"what is the primary source of knowledge?" mpaka mchambua ubongo,muunga mifupa n.k anakuwa hivo alianzaje kuvijua?
Si alifundishwa vi-definition(kama alivyosema) na mwalimu?
Tena vya;
1.What is biology? (Ka-form one hapo kapokapo tu,unakakataza kelele).
2.You!what is microorganisms?
3.What are the common diseases and infection?
4.What is coronary thrombosis?
5.What do you understand about arteriosclerosis?
Halafu kanajua,eti badae MWALIMU hana maana tena looo!!!maajabu haya.
Ni muhimu sana MWALIMU aangaliwe mshahara wake.Usimchukulie poa hata kidogo

"Kazi kubwa ya mwalimu ni kuondoa ujinga na kubadili fikra za wajinga hao wasiojua" Mwl,Nyerere

Poleni walimu wote wa Tanzania. Mtetezi wenu alifariki Msanii Mkoloni RIP.
Kaazi kweli kweli naona hapa walimu wanaongelewa ni wa primary na secondary, coz wa vyuoni wanakula mpunga mrefu tu
 
Akili za mwendokasi hizi. Mbona hujiulizi kwanini bei ya vitabu vya Biology na Physics au zaidi vitabu vya medicines ni tofauti? Je tuition fee ya shahada za udaktari sawa na zile za History? Na mbona hupendekezi wote wasome miaka 3 undergrts kama BA kiswahili?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
habari wanandugu!

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani Moja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya Wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi Wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu Wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu Wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu. yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti

by mkulima Wa nyanya
Sio ilingane Ila kusiwe Na ombwe la mshahara
 
hoja yako ya kipuuzi, kwani kwenye afya hakuna wanaoungaunga mpaka ngazi ya degree au masters?
Ni mpuuzi tu kama anaweza kufikiri Tz mishahara inalipwa kwa kigezo cha elimu za watu. Ingekuwa ni hivyo kwanini mbunge wa drs7 alipwe pesa kibao na marupirupu kuliko daktari, kuliko prof? hapo nguvu ya elimu iko wapi atuoneshe. Iweje rais mwenye "pass" degree alipwe mara 10 ya prof anayezalisha maintellectuals duniani? hapo nguvu na kigezo cha elimu kiko wapi?

Mishahara ilipwe kwa kigezo kimoja kikubwa tu, kulitumikia Taifa. Uwe daktari, uwe nesi, uwe mwalimu, uwe mwanasheria n.k sote tunalitumikia taifa, kufanya kazi serikalini isifanywe mahala pa kuneemesha watu, aliye tayari kuitumikia nchi yake na apewe kazi, anayesema mshahara huu ni wa mwalimu na mie ni injinia siwezi kuukubali basi aendelee na shughuri zake. Utumishi wa umma ni kujitoa, ni kulitumikia Taifa lako kwani kuna hata wakati unaweza kutakiwa ufanye kazi na usilipwe ilimradi unaitumikia nchi yako, hizo kazi zipo na hayo mazingira yapo pia. Kubali kilichopo leo na huo ndo uzalendo kwa nchi yako ( to serve your country )
 
Acha ushamba kwani hakuna walimu wenye div1? Usiropoke vitu usivokuwa na maarifa navyo nikweli mwalim halingan na dactar lkn div sio kigezo hii ni dalili ya ulimbukeni
Hakuna mwalimu mwenye div 1 isipokua labda wale ma lecture wa vyuoni(universities) na hata kama yupo wa secondary bas hiyo haikua mipango yake na mpaka time hii anajilaumu sana
 
Tuwathamini walimu wetu na wanastahili mishahara bora.. ila tusianze kulinganisha mshahara wa daktari na mwalimu, Tunakosea
 
Hata huko ulimwenguni Hali ipo hivyo, pitia hiyo link, kama Kuna mwalimu hapo
Halafu angalia From no 1 to 10 uone.
 
Back
Top Bottom