Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

pamoja na hayo, Mimi nipate Div one ya pcb, nilikuwa nakesha nasoma wewe na HKL yako miguu juu umelala bwenini, nije chuo kikuu nisome 6yrs na msuri mnene, kupasua maiti na kadhia zote ndo Napata registration ya udactari, wewe miguu juu unasoma 3yrs ushapada degree yako ya ualimu, tena ya discussion tu kwenye vimbweta.
bado kazini niitwe hata usku wa manane kuwahudumia watu,sina sikukuu wala jumapili, wewe saa 9 alasiri ushafunga ofisi mpaka kesho na ni weekdays tu.

Alaf tuajiliwe na kulipwa mshahara sawa???? hell no. tinaenda private kama noma na iwe noma.

dactari lazima alipwe mshahara zaidi ya mwalimu, tusipofanya hivi tutawakosa madactari maana kutakuwa hakuna haja kuumia na masomo miaka yote hiyo alaf tulingane mshahara na mwalimu aliyesoma bila kuumia sana. wote tuwe waalimu tu.. alaaah.

1. Kwani ni kila siku dharura za usiku wa manane zinatokea? Kwamba madokta huwa hawalalagi nyumbani?!!
2. Ulipokuwa shule ya bweni matatizo ya usiku wa manane yalishughulikiwa na nani?
 
Sasa kama wapo waliokubali kuwa walimu kwa nini watake kulipwa sawa na madaktari?
Kulipwa sawa na madaktari haiwezekan kwa sababu katika idara ya afya kuna changamoto zaidi,ila pia salary ya walimu haiendani na changamoto ila kwa madaktari at least kuna unafuu
 
mwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!
Vipi mwalimu aliyepata div one 4&6??

Aende naye sawa sio??
 
1. Kwani ni kila siku dharura za usiku wa manane zinatokea? Kwamba madokta huwa hawalalagi nyumbani?!!
2. Ulipokuwa shule ya bweni matatizo ya usiku wa manane yalishughulikiwa na nani?
Mwalimu atabaki kuwa mwalimu tu dunia mzima, acha madaktari wale matunda yao
 
1. Nani kakwambia likizo za wanafunzi pia ni za walimu?

2. Nani kakwambi walimu wanaingia saa mbili asubuhi na kutoka saa nane mchana?

3. Hivi wewe umesoma shule gani ya ajabu namna hiyo?

NB; Mimi nilisoma shule ambayo Mwl wa Math na Phy ni mmoja tu, na anafundisha shule nzima na bado ni mkuu wa shule!!

ONYO KALI: Usilete mifano ya walimu wa ST.Merry, ST Francis, FEZA nk!!
Nimesoma shule ya kata tunaingia sa mbili tunatoka sa8 no remedial no tuition na tukitoka walim wanatoka, na likizo kama wanafunzi hawapo mwalimu anamfundisha nani.? acha kubisha vitu unavyovifaham kabisa.. nyie shuleni kwenu mlikua mnatoka sa ngapi.? mlikua mnafundishw wakat wa likizo.?
 
Kulipwa sawa na madaktari haiwezekan kwa sababu katika idara ya afya kuna changamoto zaidi,ila pia salary ya walimu haiendani na changamoto ila kwa madaktari at least kuna unafuu
Sasa kwani walimu hamuwezi kudai maslahi yenu bila kuwataja madaktari ambao walivyokuwa wanasoma wapige one ninyi munacheza cheza hadi kupata 3 leo munalia lia
 
jamani vitu vingine tuwe tuna uliza wenyeji mwalimu wa ngazi ipi Tanzania analipwa mshahara wa laki mbili mbona mnapenda kuona kama walimu ndio watumishi hohe hahe kwa kila kitu

Hivi mnajua Kuna walimu wanachukua mshahara milioni moja yani hiyo milioni ni yake hapo makato yote yamefanyika

Hivi mnajua katika watumishi wa umma ukiweza tatu bora mwalimu hawezi kukosa kuwa na mshahara mzuri ukitofautisha na idara nyingine

Tatizo walimu wamejaa uchoyo na unafiki ndio maaana wanaoneka hawana kipato wanaogopa kusema wapo vizuri kiuchumi kwakujua wataobwa au kukopwa
Me nadhani katoa mfano tu, sema uelewa wako finyu ndo tatizo
 
Mbona kama hivyo fani nyingine zitakosa watu hv Mwl mwenye Masters ya Mwaka mmoja kwa ada ya Milioni 2 akalipwe Sawa na Daktari anaye toil kupata masters kwa miaka mitatu na ada ya Million 10 kila mwaka na pesa yenyewe kajilipia thru mikopo si afadhali kila mtu awe mwl!
Sio kwamba mnasomaga miaka mingi kwa sababu akili zenu ni ngumu kuelewa???

Ndo maana inabidi muatamie vitabu??nauliza tu??
 
unaongea usivyovijuwa, kila idara INA changamoto zake na huwezi kusema kuwa idara ya afya ina changamoto nyingi kuliko zilizoko idara ya elimu, hauko siliazi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] siliazi ndo nn mkuu
 
Sasa kwani walimu hamuwezi kudai maslahi yenu bila kuwataja madaktari ambao walivyokuwa wanasoma wapige one ninyi munacheza cheza hadi kupata 3 leo munalia lia
Mkuu hakuna watumishi waoga nchi hii kama walimu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
walimu ndo walioanzisha udaktar ...we ki la za ..
Kwa taarifa yako daktari anafundishwa na daktari halafu sasa mimi daktari na wewe mwalimu unayesota na chaki huku salary haifiki pengine hata Milion, kazi kujazana kwenye mATM ya NMB kila mwezi kusubilia may be hela ya kumuona MMED per week.
 
hii mada ya ulinganisho wa mishara kulingana na viwango vya elimu bila kujali kada ni mufilisi kabisa,

haiwezekani nimeshinda porini natengeneza contour, nimeresolve force zote zile za Dr Luambuka (R.I.P) wakina dr nyaoro wananishika mashirt kila mwaka, 4yrs naumia, bado registration board ya Prof Lema wamesisotesha kwa miaka 3, alaf nije nilipwe mshahara sawa na ngwini alikuwa anakaa kwenye kimbweta kwenye mdigrii kwa miaka 3 na BA in education (Kiswahili).
haiwezekani, nasema tena haiwezekani. kama vp na mimi nisome Kiswahili maana si tutapata mshahara sawa, alaf tuone madaraja atajenga nani,
 
Nimesoma shule ya kata tunaingia sa mbili tunatoka sa8 no remedial no tuition na tukitoka walim wanatoka, na likizo kama wanafunzi hawapo mwalimu anamfundisha nani.? acha kubisha vitu unavyovifaham kabisa.. nyie shuleni kwenu mlikua mnatoka sa ngapi.? mlikua mnafundishw wakat wa likizo.?

Tatizo wewe unaonge ulichosikia wakati mimi naongea nilichokipitia! Aliyekwambia kazi ya mwl ni kufundisha tu bado yuko milembe?

Hebu leo ikifika saa nane kamili angalia nje kama utamuona mwanafunzi anatoka shule!
 
1. Kwani ni kila siku dharura za usiku wa manane zinatokea? Kwamba madokta huwa hawalalagi nyumbani?!!
2. Ulipokuwa shule ya bweni matatizo ya usiku wa manane yalishughulikiwa na nani?
1.labda nikuulize, ni hospital gani inakaa usiku kucha bila kupokea mgonjwa hata mmoja?
2. nimesoma shule ya bweni, matatizo ya usiku yalitokea kwa nadra sana. na mara nyingi HP ndo aliyashughulikia na kutoa taarifa kesho yake.
 
Ndio nimemjibu huyo mtoa mada kuwa haiwezekani mtu anayeunga mifupa ya binadamu eti alipwe sawa na mtu anayekalilisha "videfiniton"
Acha dharau Kijana !! Heshimu kazi ya kila MTU...km ww ni doctor. Hao wanaokaririsha unachookiita videfinition wasingekuwa wao ,usinge fika hapo! Heshimu Msingi wa nyumba yako!! Hashimu Msingi wa maarifa yako!!acha dharau kabisa...aiseeeee..ukute mama yako naye ni mwl.au baba yako...
 
Kwa taarifa yako daktari anafundishwa na daktari halafu sasa mimi daktari na wewe mwalimu unayesota na chaki huku salary haifiki pengine hata Milion, kazi kujazana kwenye mATM ya NMB kila mwezi kusubilia may be hela ya kumuona MMED per week.
nan amekuambia mim mwalimu mie mkulima...we veeepe acha ukilaza we unajua kila mtu ameajiriwa
 
Back
Top Bottom