Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

habari wanandugu!

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani Moja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya Wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi Wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu Wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu Wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu. yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti

by mkulima Wa nyanya
Hii ni pointless, huwez mfananisha Doctor na Mwalimu eti kisa wote wana bachelor, unakua unaupungufu wakufikilia [emoji817]%
.... mbona wabunge husemi, na Wa President Je..... [emoji84] [emoji84]
 
unaongea usivyovijuwa, kila idara INA changamoto zake na huwezi kusema kuwa idara ya afya ina changamoto nyingi kuliko zilizoko idara ya elimu, hauko siliazi

Kwani idara ni afya na elimu tu? Vepe unawachobokea hao tu!? Sisi record wa Masjala nani atatusemea?
 
Kuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] vzur sana,
huwez fananisha ufundishaji wa civics na mtu anae uchambua ubongo...
mtakufa muanze sema Tz madactar bingwa hakuna....
watahamia nchi jirani.....
Doctors are Doctors
Teachers are Teachers
En so on.....
 
u
hahahahaha! kweli kati ya wale watu 4 wewe ndiye kichaa. yaani unataka mishahara ilipwe kwa kuangalia div aliyoipata MTU. hivi MTU aliyepata div 1 anazuiliwa kusma ualimu. lkn pia mbona hata upande Wa madaktari wapo wenye div. 3 au umekaririshwa
unaweza kujibu hoja bila kuni insult..huo ndio ustaarabu! point ni kwamba huwezi fananisha mwalimu na daktari au pharmacists issue ya div iko wazi kabisa i believe zaidi ya 90% ya walimu walikuwa failures either o au a level ndio wakakimbilia huko! kila mtu analijua hilo!
 
Nyie wote mnazunguka tuu, nchi hii ukitaka mshahara mzuri kuwa mwanasiasa, wakina majimarefu wenzenu wakiingia bungen tuu kwa mara ya kwanza wanapewa milion 80 za kununua usafiri na sahivi wabasema hazitoshi, haya bado mshahara, malupulupu ya kwenye kamati, fedha za jimbon za mbunge, ziara za kamati. Hapo bado hawajapewa 10% za kwenye taasisi na mashirika wanayopitia kukagua ili wapitishe hati safi, jaman siasa inalipa nyie endeleen kugombana vimishahara vya walimu na madaktari. We jiulize ni lini bungeni wabunge walisimama serious kabisa wakatetea mishahara ya sekta mbalimbali zaidi ya mishahara yao na malupulupu?
 
Ni tanzania hii mnajisifia mishahara ya kikuda afu wote mmeajiriwa kwanza ni mtumwa ukishaajiriwa unapangiwa maisha huna maana yoyte
 
jamani vitu vingine tuwe tuna uliza wenyeji mwalimu wa ngazi ipi Tanzania analipwa mshahara wa laki mbili mbona mnapenda kuona kama walimu ndio watumishi hohe hahe kwa kila kitu

Hivi mnajua Kuna walimu wanachukua mshahara milioni moja yani hiyo milioni ni yake hapo makato yote yamefanyika

Hivi mnajua katika watumishi wa umma ukiweza tatu bora mwalimu hawezi kukosa kuwa na mshahara mzuri ukitofautisha na idara nyingine

Tatizo walimu wamejaa uchoyo na unafiki ndio maaana wanaoneka hawana kipato wanaogopa kusema wapo vizuri kiuchumi kwakujua wataobwa au kukopwa
Mwalimu hawezi kuwa ndani ya tatu bora, hapo unechapia!

Yaani kada ya ualimu iwe ya tatu kwa ukubwa wa mshahara katika kada zote Tanzania?

Unefikiri kwa kutukia akiri yako mwenyewe?
 
Ww kapambane muhas 6 ukililia milion 2.wakti kuna watu mtaani ana ht dp anaingiza hiyo kwa wiki pimbi wwe..ww ona kusoma sna ndio ujanja.
 
mwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!

huyo pharmacist mwenye div 1 six......katokea kwenye mikono ya nani mkuu........au yeye alishuka toka mbinguni......????
 
Unadhani inawezekana hivi changamoto za idara ya afya unaifananisha na idara ya elimu?

Ufananisho huu unatumia hoja ipi Mkuuu
Kumuelekeza mtoto kujua kusoma sio swala la mchezo, ukitaka kujua haya Prof.Shimji na wenzake walikuwa wanatoka udsm pale wanaenda Mlalakuwa miaka 1980s kuwafundisha kusoma na kuandika na walikiri ni zoezi gumu sasa wewe udaktari shida ni nini wakati umefundishwa na mwalimu tayari?
 
Duuh. . Cha msingi kila mtu apate fedha kulingana na alivyoisotea ......msoto wa kua professor uendane na fedha atayolipwa msoto wa certificate vivyohivyo. ....
 
Habari wanandugu,

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

Kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani mmoja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

Kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti.

By mkulima wa nyanya


ukumbuke kuwa si level zote za elimu zawezekana kulipwa mshahara sawa...huwezi sema mtu mwenye degree ya sheria na degree ya PR wote ni sawa... tofauti ipo kubwa sana...
 
Wazo la kurekebisha mishahara ni jema lakini baada ya kuondoa wafanyakazi hewa na waliogushi vyeti serikali inatakiwa ipitie idara zake zote maana zipo idara watumishi wamekuwa wengi mpaka wanakosa kazi za kufanya na kusababisha watumishi wengine kupokea mshahara bila ya kufanya kazi.Kuwepo na kipimo kila mfanyakazi wa serikali aonyeshe kwa mwezi amefanya kazi gani.Maana watumishi wa serikali wanaopokea mishahara bila kufanyakazi ni wengi kuliko wafanyakazi hewa.
 
Wazo la kurekebisha mishahara ni jema lakini baada ya kuondoa wafanyakazi hewa na waliogushi vyeti serikali inatakiwa ipitie idara zake zote maana zipo idara watumishi wamekuwa wengi mpaka wanakosa kazi za kufanya na kusababisha watumishi wengine kupokea mshahara bila ya kufanya kazi.Kuwepo na kipimo kila mfanyakazi wa serikali aonyeshe kwa mwezi amefanya kazi gani.Maana watumishi wa serikali wanaopokea mishahara bila kufanyakazi ni wengi kuliko wafanyakazi hewa.
Kwani OPRAS zinafanya kazi gani?
 
Back
Top Bottom