Kwanza maisha ni magumu, halafu wewe unaongeza ugumu kwa kufunga laini za simu.
Wapiga kura wako, wengi wapo vijijini na hawajawahi kupata namba za NIDA. Octoba wanaenda kukuchinjia baharini (au una plan B ya kushinda?)
Unaenda kuvunja mahusiano ya watu, kuzuia miamala yote ya fedha na kujenga chuki kati yako na wananchi.
Ulitakiwa kuwawajibisha viongozi wa NIDA wala si wananchi. Nyota yako inazidi kufifia. Kwanini kila unachogusa kinafeli?
Je, mbona mnakomalia namba, tutaishia kupata namba tu bila vitambulisho?
Tarehe 20 ni usiku huu, lets wait and see.