Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Utaacha kazi watoto wale mawe,alafu huyo Bosi unaanzaje kumuaga unaenda kusajili line, wakati unaenda NIDA kwa ruhusa bahati kama siyo yako unakutana na foleni hadi unaamua kurudi kazini,Je wale wa vijijini amabako hamna hata wakala unafikiria wana pesa za kwenda Center au Wilayani kwa haraka kisa laini ya simu.
"Zoezi Endelevu"
Deadline ni leo 20/01/2020 saa 23:59 usiku kama utaratibu wa siku na saa itaheshimiwa ili wale wajamaa wetu wa tija kwa mteja wasiende mahakamani kudai tumeonewa..
"Tuko Vizuri" mabeberu wanasubiri line zifungwe walete vikwazo vya uwekezaji.
Zoezi la kibabe sana hili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.

Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.

Source ITV habari!

My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
Watanzania tu watu wa ajabu sana mkuu. Ikitokea mda wa kusajili line za cm ukaongezwa kwa mwezi m1, kesho hutawaona watu wakiendelea na usajili. Watasubilia wiki ya mwisho ndiyo utawaona wamejazana kwenye foleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kuongeza muda tumechoka kila mara kuongeza muda! Wao waendelee kujisajiri tu lakini simu zao zikiwa zimefungwa wakimaliza kusajiri zifunguliwe! Rais ameongeza mara mbili July 2019 na Dec 2019!!
Hahahaaaa...... Una roho mbaya kama siyo CCM!
 
Wao wenyewe wakubwa mbona hawakujisajiri huko mwanzoni?
Umejuaje??
Wakubwa wanajisajil hivi karbuni Haina maana hakuwa amesajli lain zake Ila wakubwa wengne wanasajil laini za biashara
Nyie pigeni kabobo sisi tunacheki inbobo tu
 
Watanzania ni wale wale

Ukiongeza muda wanarudi kupumzika wakisubiri zima moto

Hata Ukiongeza mwaka watu wamezoea deadline

Kujiandikisha mwishoni kuna raha yake mkuu

Hata kwenye vita wanaoenda mwishoni kuna raha yake, Raha ya kupora mali na kujiliwaza


Wale wa mwanzo ni chambo tu kujisajili

Wananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.

Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.

Source ITV habari!

My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
 
Tena umeanza na kanda gani atii? Bora tu yafungiwe hao hawatakaa watupe kura
 
Watu wanajisahau sana mambo muhm wanakumbka mwshoni mwaka Jana Kenya walifanya kufunga ni Kama masihara na ikawa hvo...nasi ni hvohvo ww Kama una laini na hukuisajili kwa Alama za vidole itunze tu itakusaidia siku ukiihitaji
 
Watanzania ni wale wale

Ukiongeza muda wanarudi kupumzika wakisubiri zima moto

Hata Ukiongeza mwaka watu wamezoea deadline

Kujiandikisha mwishoni kuna raha yake mkuu

Hata kwenye vita wanaoenda mwishoni kuna raha yake, Raha ya kupora mali na kujiliwaza


Wale wa mwanzo ni chambo tu kujisajili
Sure mkuu
 
Saa hizi saa moja na dakika 19 usiku, hii ni foleni ya nje ya makao makuu ya tigo, watu akisubiri usajili line kwa salama ya vidole (kumbuka line hizi zilishasajiliwa kwa vitambulisho vingine)

Ndani kumejaa hawa ni walio nje.

Network ya NIDA haifanyi kazi, lakini watanzania hawa wameamua watasubiri tu hadi itakaporudi wasajili.

Binafsi sijaona usumbufu huu watanzania wanapewa kwa sababu gani,,,,,,,, wakati mwingine hata uzuri wooooote wanaojitahidi kuufanya, ukifika kwenye hivi vitu vidogo vinavyomgusa mtanzania vikiharibika, hiyo SGR, Flyover hazina maana.

Maana watanzania hawa ambao simu sasa ni maisha yao, unapotaka kuwafungia leo, watauona umuhimu wa SGR au Mombadia kweli? Maana kinachomoa kula sio SGR Bali simu yake ambayo sasa umeiingilia kwa makosa ya mfumo wako mbovu. Binafsi nimepata namba ya NIDA jumamosi saa moja usiku Juzi, toka jana nimeenda kusajiri kila sehemu mtandao wa Nida haufanyi kazi. Line yangu kwa kweli wazime tu, watawasha watakapojisikia. Tutaonana mbele ya safari, hakuna marefu yasio na ncha.....View attachment 1328734

Sent using Jamii Forums mobile app
Selikali inajivunia tume mbovu ya uchaguz

Haki ya nani tungekuwa na tume huru hawa washenzi wanaoitwa ccm tungesomana

Wao ndo wangekuwa wanaitwa wapinzan kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom