FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wakati maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha JP Magufuli yakikaribia, ni vyema tukaangazia miradi yake aliyotekeleza na inayoendelea kutekelezwa / kukwamishwa kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... hakika kuna Mungu!Mungu alijibu maombi ya Watanzania wengi
Hoja ni miradi inayokwamishwa kwa makusudi, au hiyo miradi ataitumia yeye kuzimu au ni kwa ajili yetu?Sawa, mtu kama mimi nashukuru Mungu alifanya vizuri kumuondoa ili tulioumizwa tupone na tumepona kwa 100%.
Inabidi tuache unafiki....Sawa, mtu kama mimi nashukuru Mungu alifanya vizuri kumuondoa ili tulioumizwa tupone na tumepona kwa 100%.
Hujui kuwa alikuwa anapora pesa za watu na kuacha kuwapa haki Watumishi wa Umma ili afanye hio miradi, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.Hoja ni miradi inayokwamishwa kwa makusudi, au hiyo miradi ataitumia yeye kuzimu au ni kwa ajili yetu?
Kwa wajinga kama wewe.Inabidi tuache unafiki....
Eti umepona[emoji16][emoji16]
Wewe kubali tu, kuwa JPM alikuwa raisi bora kuwahi kutokea Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bwawa la Nyerere umeme utakaozalishwa atatumia yeye huko kuzimu?Hujui kuwa alikuwa anapora pesa za watu na kuacha kuwapa haki Watumishi wa Umma ili afanye hio miradi, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Sawa ngoja tusubiri hiyo sikuWakati maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha JP Magufuli yakikaribia, ni vyema tukaangazia miradi yake aliyotekeleza na inayoendelea kutekelezwa / kukwamishwa kwa sasa.
Hongera Kwa kupona ila amini huwezi pona ungali Bado upo hapa TzSawa, mtu kama mimi nashukuru Mungu alifanya vizuri kumuondoa ili tulioumizwa tupone na tumepona kwa 100%.
Me sikuwemo kati ya hao!.Mungu alijibu maombi ya Watanzania wengi
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa wajinga kama wewe.