Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
NimekuwakilishaMe sikuwemo kati ya hao!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimekuwakilishaMe sikuwemo kati ya hao!.
kuna mfanyabiashara gani aliporwa hata mia mbili iliyotosha kujengea bwawa??Miradi ya fedha za ndani kumbe anapitisha vibakuli kimyakimya kwa mabeberu na kupora pesa za wafanyabiashara wakubwa
Sukuma gang mna mtindio wa ubongo?1.Amechangia Kwa kiasi kikubwa sanaaa kupunguza foleni jijini Dar,ule mradi wa mwendo kasi na kupanua njia za katikati ya mji kulileta ahueni kubwa sanaa.
2. Amesaidia sanaa kurahisisha huduma za afya katika mikoa yote nchini kupatikana Kwa urahisi kwa kuhakikisha hospital nyingi za mkoa zinakua na hadhi ya rufaa na wilaya kupanda kuwa mkoa. Majengo mengi yalijengwa na vifaa vingi kununuliwa.
3. Alisaidia kuimarisha mifumo mbalimbali ya ulipaji kodi nchini iliyosaidia mapato ya nchi kuongezeka zaidi.
Wengine wataongezea mengine,kikubwa tutambue kuwa ameisaidia sanaa nchi kuvuka salama katika kipindi kigumu Sana cha UVIKO,pia alijitahidi sanaa kuwa sehemu ya sauti kwa wasio na sauti(wanyonge).
Alipendwa na wengi,lakini pia alichukiwa na wengi, MUNGU ampumzishe kwa amani...
UsitufokeeKwahiyo na wewe utakapokufa Mungu atakiwa amefanya vzr kukuondoa ili uliowaumiza wapone 100%?
Usiropoke tu kwa kuwa una mdomo wa kuropoka bali jiulize kwanza wewe unaelekea wapi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sina muda wa kubishana ccmkuna mfanyabiashara gani aliporwa hata mia mbili iliyotosha kujengea bwawa??
ndio waume zenu wanahonga malaya miaka yote na kuwadanganya jpm kawapora fedha zao!!!
Binadamu hawana shukrani, lile bwawa linalobezwa leo siku likija kukamilika manufaa tutapata wote, sasa kwanini lipewe kisogo na kuonekana ni ujinga tu?Tatizo ni kutokufikiri kwako,haya amekufa ebu nitajie mafanikio waliyonayo watumishi na hao waliokuwa wanaporwa fedha.
Msiwe waropokaji kwa kuwa mna midomo inamaana leo ndiyo mmeanza kulalamika au kumlalamikia Rais wa Tanzania.
Alipokuwa waziri mlimuona mzuri lakini kwa kuwa Rais amekuwa mbaya kwa vile aliwabana kwenye UJANJAUJANJA?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Forex Shops, ie Maxomkuna mfanyabiashara gani aliporwa hata mia mbili iliyotosha kujengea bwawa??
ndio waume zenu wanahonga malaya miaka yote na kuwadanganya jpm kawapora fedha zao!!!
Mimi sikuwepo katika hayo maombiMungu alijibu maombi ya Watanzania wengi
NimekuwakilishaMimi sikuwepo katika hayo maombi
R.I.P Mr President
Kwa nini usiikwamue?Hoja ni miradi inayokwamishwa kwa makusudi, au hiyo miradi ataitumia yeye kuzimu au ni kwa ajili yetu?
NO.Nimekuwakilisha
Pole ulikuwa na vyeti feki au zungu la unga?Sawa, mtu kama mimi nashukuru Mungu alifanya vizuri kumuondoa ili tulioumizwa tupone na tumepona kwa 100%.
Kwa utafiti upiInabidi tuache unafiki....
Eti umepona[emoji16][emoji16]
Wewe kubali tu, kuwa JPM alikuwa raisi bora kuwahi kutokea Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichukiwa na waliochukia alivyopendwa na wengi1.Amechangia Kwa kiasi kikubwa sanaaa kupunguza foleni jijini Dar,ule mradi wa mwendo kasi na kupanua njia za katikati ya mji kulileta ahueni kubwa sanaa.
2. Amesaidia sanaa kurahisisha huduma za afya katika mikoa yote nchini kupatikana Kwa urahisi kwa kuhakikisha hospital nyingi za mkoa zinakua na hadhi ya rufaa na wilaya kupanda kuwa mkoa. Majengo mengi yalijengwa na vifaa vingi kununuliwa.
3. Alisaidia kuimarisha mifumo mbalimbali ya ulipaji kodi nchini iliyosaidia mapato ya nchi kuongezeka zaidi.
Wengine wataongezea mengine,kikubwa tutambue kuwa ameisaidia sanaa nchi kuvuka salama katika kipindi kigumu Sana cha UVIKO,pia alijitahidi sanaa kuwa sehemu ya sauti kwa wasio na sauti(wanyonge).
Alipendwa na wengi,lakini pia alichukiwa na wengi, MUNGU ampumzishe kwa amani...