Unadhani kama umeumizwa wewe hakuna aliyeumizwa but still ndiye nilikuwa napiga kelele nchi ipate komando, asiye cheka cheka, jasiri nk.
Hatimaye mlipolia na Mungu mkasema amesikia kilio cha Watanzania wengi, mpaka wapinzani mlilia apatikane like him, baadaye JK akawaambia mliyemtaka huyo hapo.
Leo mnakejeli, ooh kakaza, ooh hatupumui, ooh hafai, Mungu mchukue, mmh!.
Although maendeleo siyo lelemama, kuna wkt lazima uumie ili kizazi kijacho kije kiseme hakika babu waliumia, ndiyo maana babu zako walifanyiwa unyama mkubwa na kuzurumiwa vingi ikiwemo uhai ila leo unasoma kwenye history na kula bata, hujui madhira aina gani yaliwakuta.
[emoji1485] Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.