Kuelekea maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha Hayati JP Magufuli

Sukuma gang mna mtindio wa ubongo?
Mwendokasi kajenga Magufuli?
 
kuna mfanyabiashara gani aliporwa hata mia mbili iliyotosha kujengea bwawa??

ndio waume zenu wanahonga malaya miaka yote na kuwadanganya jpm kawapora fedha zao!!!
Sina muda wa kubishana ccm
 
Binadamu hawana shukrani, lile bwawa linalobezwa leo siku likija kukamilika manufaa tutapata wote, sasa kwanini lipewe kisogo na kuonekana ni ujinga tu?
 
Magufuli, Mwamba, BullDozer, Jiwe, Mzilankende, Ngosha, John na Rais wa Wanyonge hakika vizazi na Vizazi watakuta alama zako ikiwemo the Tanzanite Bridge na Bwawa la Nyerere. Mungu yuko pamoja na Team Wazalendo.
 
kuna mfanyabiashara gani aliporwa hata mia mbili iliyotosha kujengea bwawa??

ndio waume zenu wanahonga malaya miaka yote na kuwadanganya jpm kawapora fedha zao!!!
Forex Shops, ie Maxom
 
Alichukiwa na waliochukia alivyopendwa na wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…