Kuelekea maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha Hayati JP Magufuli

acha uzwazwa wewe mradi wa mwendokasi hakuuanzisha yeye aliukuta , jamaa ukitaka mkujua lilikua binafsi halikuanhata linataja mambo ambayo aliyakuta akayaendeleza kidogo , alijifanya yote ni juhudi zake, selfish kabisa
 
Hatatokea rais mwenye mamlaka kama JPM wengine wapo Kwa maslahi ya matumbo yao wenye akili zao wako kimya na siku zote mtu mwema huwa haishi yeyote anayesaidia watu maisha yake huwa mafupi hebu angalia uhalisia tunakoishi wale wanaotusaidia ndo Mungu anawaita WATANZANIA TUMEPOTEZA ALMASI UKWELI NDO HUO R. I. P JMP
 
Nasema moja la JPM kwa sasa kiongozi akiahidi kitu ni ngumu kupotezea atahojiwa mpaka akome sio kama zamani jambo linapita juu juu.

Midomo yake iliahidi ambayo kweli yalitokea hata kama hayajaisha au kufanywa kabisa lakini kila mtu alitumaini na kujua kweli litatokea .

Daima alikua mkweli kwa asilimia 75% hizo 25 % ni kwa sababu hawezi ishi kama malaika ila alitutia matumaini makubwa kipindi cha corona siwezi sahau kamwe.

"Tulianza na Mungu na tukamaliza na Mungu."

kwa project zake alizozianzisha angekuta zimefanyika Tanzania ingekua mbali sana kwa speed yake tathimini zilikua ifikapo 2035 tutawafikia kenya au kuwapita.
 
Miradi ya fedha za ndani kumbe anapitisha vibakuli kimyakimya kwa mabeberu na kupora pesa za wafanyabiashara wakubwa
Ambao waliipora serikali kwa kutokulipa Kodi na kuumiza masikini.
 
Ulizungumza na Mungu lini akakuambia alisikia kilio cha Watanzania?
 
Kaacha kazi mwenyewe, akaendelea kulipwa mshahara.kaingia Magufuli uhakiki ulivyofanyika mshahara ukasitishwa. Alafu anasema aliteswa. Sasa Magufuli hapo kosa lake nini?
View attachment 2122833
Hawa pamoja na wale wapiga dili na wenye vyeti fake ndo wanaomchukia kwakua maslai yao binafsi yaliguswa...
Unakuta mtu analipwa mshahara serikalini ila kaajiriwa kwenye NGo's...or Mwingine yupo Masomoni ila still analipwa mshahara...
Unalipwaje hela ambayo hukuifanyia kazi?hizi mambo zilipopigwa stop watu wakaanza chuki...wezi to the point wanaona ni haki yao kuiibia serikali...
Km hukua na connection ya upigali i bet your life na la mzee hazikuwahi ku cross,so huwezi kua na chuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…