@biograph kwanini umebadilisha jina la ID YAKO weweee?Vita vya mdomo
Machawa in the building
Alishinda uchaguzi kwa 100%JPM shujaa
hii id ndio habari ya mjini ndio Mimi mkuu niambie@biograph kwanini umebadilisha jina la ID YAKO weweee?
Maghayo waJF
Hatuna muda mchafu! Bora tumkumbuke Mkapa!Wakati maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha JP Magufuli yakikaribia, ni vyema tukaangazia miradi yake aliyotekeleza na inayoendelea kutekelezwa / kukwamishwa kwa sasa.
Bila Magufuli, Bwawa la Nyerere lisingejengwa ndani ya karne hiiHatuna muda mchafu! Bora tumkumbuke Mkapa!