Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naondoka kesho jioni na Air Tanzania tayari kwa maandamano.

Askofu Malasusa tunajua ni mwajiriwa wa TISS,yupo pale kimkakati tunamtaka avue Kanzu ya uaskofu akabidhiwe shati la kijani.
 
Kaeni Mzungumze msivunje Amani
Unatambua kabisa ni haki ya watanzania kuandamana na wana sababu ya msingi lakini kwa sababu flani akili yako bado ipo nusu na unafumbia macho ukweli wa mambo. Hayo ndio maajabu ya watanzania na waafrika kwa ujumla.
 
Naondoka kesho jioni na Air Tanzania tayari kwa maandamano.

Askofu Malasusa tunajua ni mwajiriwa wa TISS,yupo pale kimkakati tunamtaka avue Kanzu ya uaskofu akabidhiwe shati la kijani.
Askofu Malasusa tunajua ni mwajiriwa wa TISS,yupo pale kimkakati tunamtaka avue Kanzu ya uaskofu akabidhiwe shati la kijani.[emoji3064][emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanahangaika na mafuriko, nyumba zimesombwa, magari yamesombwa, barabara zimebomolewa, madaraja yameng'olewa, na watu kuachiwa uharibifu mkubwa, nyie bado mnataka kuwapigia kelele na habari ya maandamano? Nyie chadema hmna utu!
 
Sijui tulimkosea Nini Mungu kama yupo ... Na anashindwaje kuyaona makosa ya Hawa wanaoutuongoza ...hivi Mungu yupo!?? ... Bora ningebaki Bulgaria tu kmmmk...... Nchi ya hovyo sana hiiiii..
 
Naondoka kesho jioni na Air Tanzania tayari kwa maandamano.

Askofu Malasusa tunajua ni mwajiriwa wa TISS,yupo pale kimkakati tunamtaka avue Kanzu ya uaskofu akabidhiwe shati la kijani.
Kila shetani na mbuyu wake, unalia na Malasusa,yule analia na umeme naye huyu analilia nafasi mbili za wabunge kwa jimbo moja.

Unganisheni vilio vyenu alphabetically ili viwe na maana badala ya makelele,vilio gani hivyo havina mpangilio wa sauti,muimbishaji anaimbishia akiwa kwake, mpiga gitaa anachanganya nyuzi,wa kinanda ndo basi tena. Looh!
 
Wakuu kwema?

Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa mwaka 2023.

Mpaka sasa ruti ya maandano hayo imetolewa huku watu mbalimbali wakijitokeza kuunga na kupinga maandamano hayo, lakini pia na serikali ilitangaza kufanya usafi tarehe 23 na 24/1/2024 ikigusa siku moja iliyopangwa kufanywa maandamano, CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Ili tusikose matuo yanayojiri mpaka siku ya maandamano hayo kufanyika, ni vizuri tukawa na uzi utakaokuwa na updates zote, Hivyo wakuu tutumie uzi huu kupeana updates ya matukio yanayojiri na kufatilia mwendo wake mpaka siku yaliyopangwa kufanyika.

===

Pia soma:

-
CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

- Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano

- CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

- Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN
Mkakodi watoto wa Palestina hawaogopi. Lkn hawa wakisikia Honda imepasuka mpira tu wote wanajitia mivugunguni. Au nasema uongo wadau?
 
TUTAANDAMANA KWA AMANI YULE QLIETANGAZA USAFI SIKU HIYO TUTAMSAIDIA USAFI LITAKUA MOJA YA MAJUKUMU YETU SIKU HIYO
Wengine tutaanza usssikku.., tutaanza usssikku tena usiku wa manannnaneee....

Punguza bange ahahhaha
 
Magari ya matangazo yakiwa tayari kuingia katika mitaa ya jiji la Da es salaam kufanya matangazo juu ya maandamano ya amani Januari 24, 2024.


 
Back
Top Bottom