Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nawaomba wana JF mwenye uelewa wa wapi alipo ndugu yetu huyu.

Namuomba mh IGP ikimpendeza basi ampangie huyu kaka yetu kazi ya kulinda maandamano ya CHADEMA hapo kesho...
Huyo mhisani wiki hii anasababisha vurugu jukwaani!
 
Mungu asimame nasi waTanzania hali ni mbaya sana serikali ielezwe ukweli
 
Wakuu kwema?

Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa mwaka 2023.

Mpaka sasa ruti ya maandano hayo imetolewa huku watu mbalimbali wakijitokeza kuunga na kupinga maandamano hayo, lakini pia na serikali ilitangaza kufanya usafi tarehe 23 na 24/1/2024 ikigusa siku moja iliyopangwa kufanywa maandamano, CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Ili tusikose matuo yanayojiri mpaka siku ya maandamano hayo kufanyika, ni vizuri tukawa na uzi utakaokuwa na updates zote, Hivyo wakuu tutumie uzi huu kupeana updates ya matukio yanayojiri na kufatilia mwendo wake mpaka siku yaliyopangwa kufanyika.

===

Pia soma:

-
CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

- Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano

- CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

- Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Kuna kila dalili kuwa Serikali ina mpango wa kuzuia maandano dakika za mwisho ...... Mark my words!!
 
Kuna kila dalili kuwa Serikali ina mpango wa kuzuia maandano dakika za mwisho ...... Mark my words!!

Kwa nini usifikirie kwamba maandamano ni mpango wa pamoja kati ya CCM na waramba asali wa upinzani kutaka kuuonesha ulimwengu kwamba TZ kuna demekrasia ili Bi Maza aonekane ni mstaarabu kuliko Yule "Kiongozi wa Malaika"??
 
Natoa ushauri kwa waandamanaji kabla hujaandamana omba vitu 3
1- BIMA YA AFYA
Maaandamano yana athari kubwa ikiwemo kilema; kupoteza maisha jitahidini mpate Bima ya Afya
2: POSHO
Chadema wamekusanya hela nyingi bajeti kila muandamanaji sh 850;000
3-Ahadi baada ya maandamano
Je chadema wamekuhakishia kutunza familia yako ukipata kilema au kupoteza maisha
 
Natoa ushauri kwa waandamanaji kabla hujaandamana omba vitu 3
1- BIMA YA AFYA
Maaandamano yana athari kubwa ikiwemo kilema; kupoteza maisha jitahidini mpate Bima ya Afya
2: POSHO
Chadema wamekusanya hela nyingi bajeti kila muandamanaji sh 850;000
3-Ahadi baada ya maandamano
Je chadema wamekuhakishia kutunza familia yako ukipata kilema au kupoteza maisha

Ni maandamano ya AMANI ... kama mna mpango wenu mwingine semeni. Nyinyi mtakaowatia vilema Watanzania ndiyo wahalifu wenyewe. Kama damu za Watanzania itamwagika Maza basi itabidi Maza avunje ile safari yake ya Vatcan ..... Haiwezekani aende Vatcan wakati mikono yake imelowa damu......!!
 
Na barua ya mwenyekiti wa mtaa kwa ajili ya dhamana, maana lazima ukamatwe.

Wenyeviti wa mitaa nchi nzima wawagomee kuwaandikia hizo barua za dhamana.
 
Natoa ushauri kwa waandamanaji kabla hujaandamana omba vitu 3
1- BIMA YA AFYA
Maaandamano yana athari kubwa ikiwemo kilema; kupoteza maisha jitahidini mpate Bima ya Afya
2: POSHO
Chadema wamekusanya hela nyingi bajeti kila muandamanaji sh 850;000
3-Ahadi baada ya maandamano
Je chadema wamekuhakishia kutunza familia yako ukipata kilema au kupoteza maisha
Ccm mmewakatia wangapi bima za afya? tunaona huko moshi makonda anaandamana.

Nchimbi yuko mikoani watu wanasukuma na magari. Mmewakatia bima za shilingi ngapi?

Watu na viroboto wa ccm km ww hamhitaji bima?

Propaganda za kitoto sana. Zilizopitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom