Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Pre GE2025 Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tayari Magari ya Matangazo ya Chadema ya kuhamasisha Maandamano ya Amani yameingia barabarani .

Habari njema zinadokeza kwamba Jeshi la Polisi limepokea Taarifa ya maandamano hayo Makubwa kuliko yote yaliyowahi kufanyika Nchini Tanzania

Zaidi jionee mwenyewe

Screenshot_2024-01-22-17-27-42-1.png
Screenshot_2024-01-22-17-27-46-1.png
Screenshot_2024-01-22-17-27-50-1.png
Screenshot_2024-01-22-17-27-54-1.png
Screenshot_2024-01-22-17-27-56-1.png
 
CCM walikua na hali ngumu kuhusu kuzuia/kuruhusu haya maandamano.
Kwa kifupi, they were damned if they do, damned if they dont.

Mwisho wa siku it seems wameona demage ya kuyazuia ni kubwa zaidi kuliko kuyaruhusu.

Kila la heri kwa Chadema na watanzania wote mtakaoshiriki.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
 
CCM walikua na hali ngumu kuhusu kuzuia/kuruhusu haya maandamano.
Kwa kifupi, they were damned if they do, damned if they dont.

Mwisho wa siku it seems wameona demage ya kuyazuia ni kubwa zaidi kuliko kuyaruhusu.

Kila la heri kwa Chadema na watanzania wote mtakaoshiriki.
Vile vyama shikizi ikiwemo Eisitii ya zitto junior vitashiriki?
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tayari Magari ya Matangazo ya Chadema ya kuhamasisha Maandamano ya Amani yameingia barabarani .

Habari njema zinadokeza kwamba Jeshi la Polisi limepokea Taarifa ya maandamano hayo Makubwa kuliko yote yaliyowahi kufanyika Nchini Tanzania

Zaidi jionee mwenyewe

View attachment 2879663View attachment 2879664View attachment 2879665View attachment 2879667View attachment 2879669
Ccm kwa Sasa hawana tena ubavu wa kushindana na CDM kwenye masuala ya msingi.

Wao wanajivunia maguvu wakati sisi tunajuvunia akili kichwani.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
Sio habari, sema una force,
labda Hasimu Rungwe akiahamia CCM ndo itakuwa hot news!
 
Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
Ni haki yake
 
Mm nitaandamana Hapa Happ naomba kuwepo live update Uzi wa kutoa yaanyojiriii ktk mansamano hayo
 
Back
Top Bottom