TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
kama vile utatia pua yakoWewe kaa tu nyumbani maana sugar wewe unaipata kwa sh 2000/ tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama vile utatia pua yakoWewe kaa tu nyumbani maana sugar wewe unaipata kwa sh 2000/ tu.
Tume huru ya uchaguzi na sheria ya uchaguzi.Yanahusu nini mkuu?
Mbona askofu Shoo na Bagonza ni makamanda na hatujasema neno?!Askofu Malasusa tunajua ni mwajiriwa wa TISS,yupo pale kimkakati tunamtaka avue Kanzu ya uaskofu akabidhiwe shati la kijani.
Juju ya Chadema au?RPC Kiondo....alikufa huyu
Watakuelewa wachache sanamtumwa himtambua bwana wake...
Oooh my God!RPC Kiondo....alikufa huyu
Pole sana kwa familia yakeYupo kuzimu kitambo alikufa akaiacha chadema bado ipo
Kweli aiseeNawaomba wana JF mwenye uelewa wa wapi alipo ndugu yetu huyu.
Namuomba mh IGP ikimpendeza basi ampangie huyu kaka yetu kazi ya kulinda maandamano ya CHADEMA hapo kesho.
Maana naona alijisahau sana akasahau kuwa nchi hii inatawaliwa kwa vipindi.
Sidhani kama somo la utawala bora lilinasa vizuri.
View attachment 2880225