Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Shida yetu watanzania mpira tumeufanya kuwa uadui na sio mchezo wa kuliunganisha Taifa Kama dhana ya michezo ilivyo!!

Mechi za kimataifa tungeungana kushangilia timu za nyumbani,, then domestic league kila mtu apambane na hali yake,, utakuja kuona mautopolo yamevaa jezi za Chama tawala afu yanashabikia wageni!!

Utopolo mtakuwa na akili lini?
Hapna mkuu......kuwa na mpira uadui ndio kunafanya mpira wa bongo kukua zaidi ......coz kitendo Cha wapinzani wenu kuto waunga mkono kutawafanya .....wachezaji wa SIMBA kujituma Zaid
 
Kitu kinachowasumbua wanayanga ni ushamba na wivu uliopitiliza. Ushindi wa Simba ni heshima ya Tanzania na TPL
 
CAF CONFIDERATION CUP

Mashabiki wa Simba hawataki kusikia lolote siku ya leo ila tu ni kuona chama lao linashinda pale lupaso stadium aka kwa mkapa

Matokeo ya ushindi si tu yataifanya Simba kuongoza kundi lao Bali kuwafanya mashabiki kutembea kifua mbele .....

Swali

Je kwa kikosi cha Simba leo chenye wachezaji wazito kwenye mpira, wazee unadhani wanakufa kwa goli ngapi pale lupaso?

View attachment 2118074

97FFC532-8D4C-4597-ACBF-E5ACBF980E26.jpeg
 
Simba Leo anashinda NNE bila, mark my words

😁😁😁 Wacha wewe! Mugalu anatupia 1, Kagere 2 na Captain John Bocco anakuja kulizamisha kabisa jahazi la Asec Mimosa kwa goli 1 la dk za lala salama!!

Yaani washambuliaji wetu leo watamaliza ukame wote! Na uzuri leo hatumtegemei Ahmada Simba kutupatia penati, hivyo lazima tupambane mpaka kieleweke. 😫
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Wacha wewe! Mugalu anatupia 1, Kagere 2 na Captain John Bocco anakuja kulizamisha kabisa jahazi la Asec Mimosa kwa goli 1 la dk za lala salama!!

Yaani washambuliaji wetu leo watamaliza ukame wote! Na uzuri leo hatumtegemei Ahmada Simba kutupatia penati, hivyo lazima tupambane mpaka kieleweke. [emoji31]
Mnataka mshinde ......alafu mna muacha nje Morrison ?
 
Back
Top Bottom