Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Imani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lkn kumbuka Leo penalt za bure hazipo
Ni kweliHii mechi niliskia inaoneshwa dstv, mwenye uhakika kama ni kweli
Simba atanyukwa bao za aibu sana hakuna timu pale.CAF CONFEDERATION CUP
Mashabiki wa Simba hawataki kusikia lolote siku ya leo ila tu ni kuona chama lao linashinda pale lupaso stadium aka kwa mkapa
Matokeo ya ushindi si tu yataifanya Simba kuongoza kundi lao Bali kuwafanya mashabiki kutembea kifua mbele .....
Swali
Je kwa kikosi cha Simba leo chenye wachezaji wazito kwenye mpira, wazee unadhani wanakufa kwa goli ngapi pale lupaso?
View attachment 2118074
Watashinda kwa penalt mkuuSimba atanyukwa bao za aibu sana hakuna timu pale.
Mnataka mshinde ......alafu mna muacha nje Morrison ?
Nani kakutuma huko Bwagamoyo?Habari zimeenea Bagamoyo mitaani kuwa Simba walikuwa kwa witchdoctor mmoja wa Bagamoyo ambaye amejitahidi kuwasaidia ili kichapo kisiwepi lakini imeshindikana. Mganga huyo yupo Bagamoyo maeneo ya jirani na hospital ya wilaya.
Chanzo: wadau wa Bagamoyo.
Simba Sc haiwezi kuchangamana na intarahamwe wa jangwani, acha washangilie wageni.Shida yetu watanzania mpira tumeufanya kuwa uadui na sio mchezo wa kuliunganisha Taifa Kama dhana ya michezo ilivyo!!
Mechi za kimataifa tungeungana kushangilia timu za nyumbani,, then domestic league kila mtu apambane na hali yake,, utakuja kuona mautopolo yamevaa jezi za Chama tawala afu yanashabikia wageni!!
Utopolo mtakuwa na akili lini?
Wakija kufungwa utaanza kusema ni wabovu, Uto akili zenu tunazijua.Shtuka mkuu.....labda upo ndotoni
Kama tu mbeya cty waliwasumbua.... Mtawaweza hao mabingwa wa kihistoria?
Msije kusema ASEC ni vibonde.Leo Simba ndio watajua kubebwa na Marefa wa bongo kumewaletea athari kiasi gani. Kipigo Cha Leo lawama nazipeleka moja kwa moja kwa Marefa wao ndio walio ilemaza timu ya Simba.
Chukua hii ninachojua na Kazi ndiyo tumetoka Kuimaliza sasa japo nikiri ilikuwa ni Nzito kwani Jamaa ( Asec Mimosa ) nao ni Wazima na Wazito kwa Unyangindo ( Uchawi ) ila kuna mahala tumewaweza.Habari zimeenea Bagamoyo mitaani kuwa Simba walikuwa kwa witchdoctor mmoja wa Bagamoyo ambaye amejitahidi kuwasaidia ili kichapo kisiwepi lakini imeshindikana. Mganga huyo yupo Bagamoyo maeneo ya jirani na hospital ya wilaya.
Chanzo: wadau wa Bagamoyo.