Hapna mkuu......kuwa na mpira uadui ndio kunafanya mpira wa bongo kukua zaidi ......coz kitendo Cha wapinzani wenu kuto waunga mkono kutawafanya .....wachezaji wa SIMBA kujituma ZaidShida yetu watanzania mpira tumeufanya kuwa uadui na sio mchezo wa kuliunganisha Taifa Kama dhana ya michezo ilivyo!!
Mechi za kimataifa tungeungana kushangilia timu za nyumbani,, then domestic league kila mtu apambane na hali yake,, utakuja kuona mautopolo yamevaa jezi za Chama tawala afu yanashabikia wageni!!
Utopolo mtakuwa na akili lini?
Nenden kwa mkapa muwape suppost wenzenuHii mechi niliskia inaoneshwa dstv, mwenye uhakika kama ni kweli
Hana kikosi cha kumpa jeuri .........labda apate penaltKwanini afe na sio kuua??
KWA PENALT AU KADI NYEKUNDUHayo ndiyo yaliyomo vifuani mwa wapumbavu!
Mnawaza upuuzi wakati timu lenu hata 70 bora ya CAF halimo.
Simba atashinda leo!
Tumuombee mchezaji wetu boko leoKila la kheri...
CAF CONFIDERATION CUP
Mashabiki wa Simba hawataki kusikia lolote siku ya leo ila tu ni kuona chama lao linashinda pale lupaso stadium aka kwa mkapa
Matokeo ya ushindi si tu yataifanya Simba kuongoza kundi lao Bali kuwafanya mashabiki kutembea kifua mbele .....
Swali
Je kwa kikosi cha Simba leo chenye wachezaji wazito kwenye mpira, wazee unadhani wanakufa kwa goli ngapi pale lupaso?
View attachment 2118074
Shtuka mkuu.....labda upo ndotoniSimba Leo anashinda NNE bila, mark my words
Lipi hilio mkuu........lenyeji au geni[emoji23][emoji23]Nimesema msiruhusu watoto wadogo kuangalia tv jioni ya leo kwani jitu linaenda kucharangwa mwili na damu kutapakaa....
Simba Leo anashinda NNE bila, mark my words
[emoji23][emoji23]naomba makasiriko ...myapeleke kwa Pablo......baada ya mechi kuishaAnakufa yanyoko! Confideration ndo nn
Goli la SIMBA.....Litafungwa na mchezaji gan?Simba 1 -2 Asec Mimosa.FT.
Wasisahau......referee...hatokei bongo land
Mnataka mshinde ......alafu mna muacha nje Morrison ?[emoji16][emoji16][emoji16] Wacha wewe! Mugalu anatupia 1, Kagere 2 na Captain John Bocco anakuja kulizamisha kabisa jahazi la Asec Mimosa kwa goli 1 la dk za lala salama!!
Yaani washambuliaji wetu leo watamaliza ukame wote! Na uzuri leo hatumtegemei Ahmada Simba kutupatia penati, hivyo lazima tupambane mpaka kieleweke. [emoji31]
Baadae msije kuukimbia uzi huu
Hakuna wa kukimbiaBaadae msije kuukimbia uzi huu