Kuelekea mechi ya kesho dhidi ya Simba Orlando pirates wamepata advantage kubwa ya match fitness kutoka kwa Mamelodi Sundowns.

Kuelekea mechi ya kesho dhidi ya Simba Orlando pirates wamepata advantage kubwa ya match fitness kutoka kwa Mamelodi Sundowns.

Nilikuwa nashangaa ni kwa nini Orlando wanachelewa kuja Dar kwa ajiri ya mechi yao na Simba? Kumbe wenzentu wapo vizuri sana utaratibu wa ligi yao.

Ni kwamba jana Orlando Pirates walikuwa na game ngumu na Mamelod Sundowns The Brazilian na wamepoteza game kwa kufungwa holi 3 kwa 2, game ya round ya kwa Orlando walipigwa 3 bila na Mamelod, kwahiyo Orlando kwa Mamelod si lolote.

Ila point yangu hapa kiufundi ni faida kubwa sana kwa fitness kuelekea mechi yao ya kesho dhidi ya Simba ambao wana wiki nzima hawajacheza mechi ya kiushindani, hivyo tukiacha mazingaombwe na kwa Mkapa hatoki mtu kwa jicho la kiufundi mechi ya kesho inakwenda kuwapa faida zaidi Orlando kuliko Simba.

Kuna vitu sasa TFF ijifunze na klabu zetu zijifunze, ingekuwa ni hapa kwetu Orlando wasingecheza mechi ngumu nyumbani kwao siku 3 kabla ya mechi ngumu ya kimataifa tena unahitajika kusafiri.

Kwa ushahidi huu sitalajii kusikia kisingizio chochote cha kuhairisha mechi ya Simba na Yanga tarehe 30, ni faida pia kwa Simba kwa match fitness.
Huna akili Mamelodi yupo Angola tangia juzi na ana game leo ya champions league then useme jana kacheza?? Muwe mnafatilia waliocheza ni timu ya vijana ya Orlando Pirates vs ya Mamelodi na game imechezwa leo matako wewe🤪😂
 
Kwetu Matola ni viazi utamu vilivyo chemshwa na kukaushwa juani kwa matumizi ya kiangazi
Ina uhusiano gani na thread hii? Orlando wameingia usiku wa kuamkia leo na kesho wanacheza na Simba na mnapigwa nyumbani, vijana wako fit kimwili na kiakili.
 
Nilikuwa nashangaa ni kwa nini Orlando wanachelewa kuja Dar kwa ajiri ya mechi yao na Simba? Kumbe wenzentu wapo vizuri sana utaratibu wa ligi yao.

Ni kwamba jana Orlando Pirates walikuwa na game ngumu na Mamelod Sundowns The Brazilian na wamepoteza game kwa kufungwa holi 3 kwa 2, game ya round ya kwa Orlando walipigwa 3 bila na Mamelod, kwahiyo Orlando kwa Mamelod si lolote.

Ila point yangu hapa kiufundi ni faida kubwa sana kwa fitness kuelekea mechi yao ya kesho dhidi ya Simba ambao wana wiki nzima hawajacheza mechi ya kiushindani, hivyo tukiacha mazingaombwe na kwa Mkapa hatoki mtu kwa jicho la kiufundi mechi ya kesho inakwenda kuwapa faida zaidi Orlando kuliko Simba.

Kuna vitu sasa TFF ijifunze na klabu zetu zijifunze, ingekuwa ni hapa kwetu Orlando wasingecheza mechi ngumu nyumbani kwao siku 3 kabla ya mechi ngumu ya kimataifa tena unahitajika kusafiri.

Kwa ushahidi huu sitalajii kusikia kisingizio chochote cha kuhairisha mechi ya Simba na Yanga tarehe 30, ni faida pia kwa Simba kwa match fitness.
Wewe ni Simba au Utopolo ? Declare interest kwanza toanishi
 
Ina uhusiano gani na thread hii? Orlando wameingia usiku wa kuamkia leo na kesho wanacheza na Simba na mnapigwa nyumbani, vijana wako fit kimwili na kiakili.
Matola ni aina ya kiazi nilikuwa na link hapo na ID yako
 
Nilikuwa nashangaa ni kwa nini Orlando wanachelewa kuja Dar kwa ajiri ya mechi yao na Simba? Kumbe wenzentu wapo vizuri sana utaratibu wa ligi yao.

Ni kwamba jana Orlando Pirates walikuwa na game ngumu na Mamelod Sundowns The Brazilian na wamepoteza game kwa kufungwa holi 3 kwa 2, game ya round ya kwa Orlando walipigwa 3 bila na Mamelod, kwahiyo Orlando kwa Mamelod si lolote.

Ila point yangu hapa kiufundi ni faida kubwa sana kwa fitness kuelekea mechi yao ya kesho dhidi ya Simba ambao wana wiki nzima hawajacheza mechi ya kiushindani, hivyo tukiacha mazingaombwe na kwa Mkapa hatoki mtu kwa jicho la kiufundi mechi ya kesho inakwenda kuwapa faida zaidi Orlando kuliko Simba.

Kuna vitu sasa TFF ijifunze na klabu zetu zijifunze, ingekuwa ni hapa kwetu Orlando wasingecheza mechi ngumu nyumbani kwao siku 3 kabla ya mechi ngumu ya kimataifa tena unahitajika kusafiri.

Kwa ushahidi huu sitalajii kusikia kisingizio chochote cha kuhairisha mechi ya Simba na Yanga tarehe 30, ni faida pia kwa Simba kwa match fitness.
ndio maana sisi wakati ligi imesimama kuisubiri Simba icheze za kimataifa, huwa tunaamua kucheza na Mlandege 😁
 
Nilikuwa nashangaa ni kwa nini Orlando wanachelewa kuja Dar kwa ajiri ya mechi yao na Simba? Kumbe wenzentu wapo vizuri sana utaratibu wa ligi yao. Ni kwamba jana Orlando Pirates walikuwa na game ngumu na Mamelod Sundowns The Brazilian na wamepoteza game kwa kufungwa holi 3 kwa 2, game ya round ya kwa Orlando walipigwa 3 bila na Mamelod, kwahiyo Orlando kwa Mamelod si lolote.
Mkuu Orlando na Mamelodi wamecheza lini? Labda umeangalia mechi za timu zao za vijana au wanawake. Orlando wamecheza mechi yao ya ligi mara ya mwisho siku ya Jumanne 12/04/2022 na kutoka suluhu 0-0 na Baroka. Acha kuwadanganya utopolo kwenye magroup yenu. Eti unashangaa hawaji mapema, yaani unawasubiri kabisa 😂

1650108994256.png
 
Mkuu Orlando na Mamelodi wamecheza lini? Labda umeangalia mechi za timu zao za vijana au wanawake. Orlando wamecheza mechi yao ya ligi mara ya mwisho siku ya Jumanne 12/04/2022 na kutoka suluhu 0-0 na Baroka. Acha kuwadanganya utopolo kwenye magroup yenu. Eti unashangaa hawaji mapema, yaani unawasubiri kabisa 😂

View attachment 2189596
Manara alishesama uto wote hamnazo.
 
Huyu jamaa kweli kathibitisha ile kauli ya msemaji wao,Haji sunday Manara
 
Mkuu umewahi kucheza mpira hata ligi ya ndondo? mechi zinachosha wachezaji? unless ulimaanisha hiyo advantage ni kwa simba!
 
Ina uhusiano gani na thread hii? Orlando wameingia usiku wa kuamkia leo na kesho wanacheza na Simba na mnapigwa nyumbani, vijana wako fit kimwili na kiakili.
Kwetu matola ni yale mafinyefinye yanayokaa toilet....
Mamelod waliyocheza na orlando ni ya kule kwenu nyamkunya ila sio hii ya MADIBA.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wamecheza Orlando na Mamelodi Reserves Players( Wachezaji wa akiba,ambao hawajasafiri na timu).
 
Back
Top Bottom