OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata kama ni smart kiasi gani,ukishakuwa Uto tu ujinga unakuandama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ushahidiNi kweli wamecheza Orlando na Mamelodi Reserves Players( Wachezaji wa akiba,ambao hawajasafiri na timu).
Autowe wapi? Zaidi atabaki kubwabwaja tu.Weka ushahidi
Hahahaha hahahahaHuna akili Mamelodi yupo Angola tangia juzi na ana game leo ya champions league then useme jana kacheza?? Muwe mnafatilia waliocheza ni timu ya vijana ya Orlando Pirates vs ya Mamelodi na game imechezwa leo matako wewe[emoji2957][emoji23]
Cormecial ndo nini 😂? Unajua msipende kulazimisha vitu msivyovijua.Tupate cormecial break kidogo.
Leo utateseka bure na mimi kwa hizi keyboard prediction.Cormecial ndo nini 😂? Unajua msipende kulazimisha vitu msivyovijua.
Njoo tunywe bia wewe acha kuteseka, tunalamba asali ya mama, nchi imefunguliwa.🥃🔥🔥We jamaa unaongelea Mamelodi ya Tandale au kwenu Bukavu?
Mamelodi wako Angola toka juzi afu unaleta ngonjera zako hapa
Mpaka sasa kashapigwa mbiliWe jamaa unaongelea Mamelodi ya Tandale au kwenu Bukavu?
Mamelodi wako Angola toka juzi afu unaleta ngonjera zako hapa
tatizo lugha ndio maana anaropokaHuna akili Mamelodi yupo Angola tangia juzi na ana game leo ya champions league then useme jana kacheza?? Muwe mnafatilia waliocheza ni timu ya vijana ya Orlando Pirates vs ya Mamelodi na game imechezwa leo matako wewe🤪😂