Kuelekea Mechi ya Yanga na Marumo Gallants naomba kusitokee Msiba wowote wa mwana Yanga

Kuelekea Mechi ya Yanga na Marumo Gallants naomba kusitokee Msiba wowote wa mwana Yanga

Fuatilia ndio uje kubisha mi nimekutajia majina baadhi we kanusha kwa ushahidi. Kamwe Mtoto anafariki akiwa Ethiopia akashindwa kurudi kuzika mwanae akaendelea na safari, SHEENZI KABISA
Hayo majina uliyataja ndio yamefanya tukio gani? Na ilikuwa ni lini? Usiishie kutaja taja majina ya watu kama unachokiongea una uhakika nacho kiongee hapa. Sio kuchafua tu watu
 
Hayo majina uliyataja ndio yamefanya tukio gani? Na ilikuwa ni lini? Usiishie kutaja taja majina ya watu kama unachokiongea una uhakika nacho kiongee hapa. Sio kuchafua tu watu
Unaweza kupewa taarifa ya kufiwa na mwanao ukiwa kwenye safari ya kikazi na upo njiani ukaamua kuendelea na safari unaacha huku nyuma wazike maana utarudi baada ya siku tatu au nne? Tuanzie hapo
 
Unaweza kupewa taarifa ya kufiwa na mwanao ukiwa kwenye safari ya kikazi na upo njiani ukaamua kuendelea na safari unaacha huku nyuma wazike maana utarudi baada ya siku tatu au nne? Tuanzie hapo
Mwakasege alifiwa na mtoto wake Mbeya yeye akiwa kwenye semina mkoa mwingine na hakuhairishia seminar aliendelea na semina kwa siku zote zilizopangwa mpaka akamaliza ndio akarudi Nyumbani.

Fuseeekii.
 
Mwakasege alifiwa na mtoto wake Mbeya yeye akiwa kwenye semina mkoa mwingine na hakuhairishia seminar aliendelea na semina kwa siku zote zilizopangwa mpaka akamaliza ndio akarudi Nyumbani.

Fuseeekii.
kwaio Mwakasege ni IS-Unit?
 
Fuatilia ndio uje kubisha mi nimekutajia majina baadhi we kanusha kwa ushahidi. Kamwe Mtoto anafariki akiwa Ethiopia akashindwa kurudi kuzika mwanae akaendelea na safari, SHEENZI KABISA
Mtu anayetukana matusi ni mweupe kichwani katika kutetea hoja hivyo hutumia matusi kama namna pekee ya kujitetea.
 
Mtu anayetukana matusi ni mweupe kichwani katika kutetea hoja hivyo hutumia matusi kama namna pekee ya kujitetea.
Mkuu ukisoma ukiwa umetulia utaelewa hujatukanwa wewe ila tabia ya yule aliyeamua kuendelea na safari hata baada ya kutaarifiwa kufiwa na mwane. Read bettween the lines
 
Unaweza kupewa taarifa ya kufiwa na mwanao ukiwa kwenye safari ya kikazi na upo njiani ukaamua kuendelea na safari unaacha huku nyuma wazike maana utarudi baada ya siku tatu au nne? Tuanzie hapo

Kwavile ni ishu ya nafsi na sio ishu ya kisheria au utaratibu basi nitakujibu kulingana na aina ya swali lako lilivyo. Hilo kuna wanaoweza na kuna wasioweza inategemea na anasimamia katika imani ipi. Waislam tena wale wanaofuata itikadi ya kidini haswa huwa hawalazi marehemu hadi wamsuburi fulani aje bali wanazika siku hiyo hiyo.

Nadhani ishu yako ipo kwenye hisia zaidi, na ishu ya hisia ni swala la ndani ya mtu, hauwezi kumuhukumu mtu kwa hisia za nje kwasababu wapo watu wangapi wanakuwa wanafiki kwa ku pretend
Mimi nikajua uliona namna alivyokuwa anafanya uuaji
 
Kweli naanza kuamini ujinga ni mzigo mzito na endapo utaamua kutokuutua basi utakutesa bila wewe mwenyewe kujua. Huu utumbo wanoutetea ndio wanamjaza ujinga popoma kuzidi kuiabisha JF kwa kila leo kutoa tread za kipuuzi puuzi tu.

Ila sishangai mtu mpaka kuamini hata inawezekana yameanzia mbali toka kwenye familia yake kuamini ushirikina ndio kudhani kila mtu anaishi hayo maisha. Ukishachagua kuwa mbumbumbu utakua hivyo milele na milele. Pole kwenu mnaojiita mashabiki wa Simba na hili popoma aseeh kazi mnayo
 
Mkuu ukisoma ukiwa umetulia utaelewa hujatukanwa wewe ila tabia ya yule aliyeamua kuendelea na safari hata baada ya kutaarifiwa kufiwa na mwane. Read bettween the lines
Yaani mtu kuruhusu kuendelea na mazishi ndio uthibitisho wa kumtoa kafara, inamaana angeenda kuzika akili yako isingewaza hili la kafara. Mbona reasoning yako ya hovyo mkuu.
 
Hawa jamaa kwa makafara wamekubuhu, Kuna, HD, Ally Kamwe na kuna mmja majuzi nimemshahau.
Tegemea mwingine kuelekea tarehe 10 au tarehe 17 kwani Mtaalam wa sasa kutokea Kibirizi Mkoani Kigoma baada ya kumuweka Kando yule wa kitokea Kilosa Mkoani Morogoro anataka Kudondosha Waru tu hataki kabisa kutumia Kitabu.
 
Back
Top Bottom