CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Raisi wa awamu ya Tano Ndugu John Magufuli alijaribu kuanzisha hili Jambo kwa kuonesha namna viongozi wa CWT (chama Cha walimu Tanzania) wanatumia michango ya wanachama na rasilimali kujinufaisha wenyewe na wakiendelea kuwanyonya walimu ,
Chama hiki hakina msaada wowote kwa walimu Tanzania Zaidi ya kukata 2% tu,
Binafsi naomba Raisi Samia atusaidie Jambo hili
Aagize Makato ya 2% kusimamishwa na viongozi wasimamishwe na watoe wazi mchanganuo wa mapato na matumizi.
Walimu watakaotaka kukatwa hiyo 2% wenyewe waandike barua kwenye halmashauri zao wajiunge kwa upya..
Walimu ambao hawatahitaji kujiunga Tena na CWT warudishiwe angalau nusu ya pesa zao Toka walipoanza kuchangia chama.
Mwisho Kupitia wizara ya Utumishi isikubali mwalimu kukatwa 2% kwenye mshahara wake bila ridhaa
Chama hiki hakina msaada wowote kwa walimu Tanzania Zaidi ya kukata 2% tu,
Binafsi naomba Raisi Samia atusaidie Jambo hili
Aagize Makato ya 2% kusimamishwa na viongozi wasimamishwe na watoe wazi mchanganuo wa mapato na matumizi.
Walimu watakaotaka kukatwa hiyo 2% wenyewe waandike barua kwenye halmashauri zao wajiunge kwa upya..
Walimu ambao hawatahitaji kujiunga Tena na CWT warudishiwe angalau nusu ya pesa zao Toka walipoanza kuchangia chama.
Mwisho Kupitia wizara ya Utumishi isikubali mwalimu kukatwa 2% kwenye mshahara wake bila ridhaa