Kuelekea Mei mosi 2022 tunaomba Rais Samia tusaidie hili kuhusu CWT

Kuelekea Mei mosi 2022 tunaomba Rais Samia tusaidie hili kuhusu CWT

Tanzania vyama vya wafanyakazi visingekua na upuuzi wa kuweka mbele maslahi ya kisiasa huu ujinga usingekuwepo
FQsKfVcWQAEe-Wg.jpeg

kwanza huyu waziri na serikali yake ilibidi wakaangwe kwenye Moto maana wao maslahi ni mazuri lakini wanabana maslahi ya wafanyakazi wengine
 
Back
Top Bottom