Hahahahahah mlikataaa bodi ya waalimu [emoji23][emoji23][emoji23] kwanza ualimu ni semi profession kwahyo acha wawapige tu,,, hatuna namna ya kuwasaidia
Tanzania vyama vya wafanyakazi visingekua na upuuzi wa kuweka mbele maslahi ya kisiasa huu ujinga usingekuwepo
kwanza huyu waziri na serikali yake ilibidi wakaangwe kwenye Moto maana wao maslahi ni mazuri lakini wanabana maslahi ya wafanyakazi wengine