Gunst
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,995
- 5,664
Hapa ndo ningeamini upinzani bongo ni unafikiMnyikaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndo ningeamini upinzani bongo ni unafikiMnyikaaaa
Huku kinana pia akiruka mtaro....hahahaaa huu mchezo hauhitaji hasira banaMnyikaaaa
Ndoto kwako kwa kuwa wewe ndio mwanachama unayeomba kurudi ccm jukwaani umesharudi zito unamwacha mwenyewe baada ya kudai demokrasiaNdoto
Be careful with oppurtunists... Tabia ya nyumbu ni kufuata malisho. ccm isijali sana wingi wa wanachama ila ubora wa wanachama. Wenye kujileta kutaka kupokewa kwa mbwembwe ccm wawe wamechunguzwa wasije kuvuruga azma ya jpm kukirejesha chama kwenye mstari. Ubora wa wanachama ndio siri ya ushindi kwenye uchaguzi.Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.
Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.
Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.
Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.
Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.
kwa sasa huyu hana nafasi ndani ya chama ndio maana amepunguza kuropoka.Kwa nafasi yako Ndani ya Chama niseme tu,Ulichoandika ni katika kuhamisha mjadala kuhusiana na yanayoendelea hapa Dodoma.
Endelea kuota, usingizi ukikwishia utaelewaSafi sana,hakuna SIASA mpaka 2019...Nadhani ilikosewa hii,usahihi nadhani ni SIASA kwa vyama vya upinzani ni mpaka 2019.......
hujui ukisemacho. Upinzani wa bongo ni halisi unaotoka kwenye mioyo ya wanachama wao. Uliza popote Africa mashariki juu ya cdm na cuf. Kamuulize Shein kule Zanzibar kisha muulize Lubuva juu ya nani alishinda kwani data halisi anazo japo wao walitangaza wakiwa chini ya ulinzi wa dola.Kwa kasi hii ya Magufuli hamna haja ya kukaa kwa vipinzani uchwara.
Upinzani Leo ndio watetezi wakubwa Wa majizi na Mafisadi ,sasa unabaki huko kutafuta nini??
Duh! Hii lugha imekuwa ngumu kwangu.sina cha kuchangi hapa, ila kasi ni nzuri maana unafika haraka, ila ukigonga kidole umekwisha, unaanguka kama gunia