Tetesi: Kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM: Mbunge, Wajumbe na Katibu wa Mikoa wa Upinzani kujiunga CCM

Tetesi: Kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM: Mbunge, Wajumbe na Katibu wa Mikoa wa Upinzani kujiunga CCM

Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka

Ukiona mtu anafanya mambo hayo, huyo si mwanasiasa bali ni mfanya biashara ya siasa!.
 
Huyo mama wa NCCR alikuwa ccm tangu mwaka jana.......
Mkuu, mbona kuna wabunge kibao wa Upinzani ni wana CCM? Subiri Magu akikabidhiwa chama hakika kutakuwa na mafuriko ya makamanda kujiunga na CCM
 
Mbunge akihama chama na ubunge hana.......hiyo ndiyo katiba ya Tanzania. Strict party discipline.
Akihama na jimbo hana!
Hilo liko wazi na ndio maana anamalizana na CCM ili hata kama atapoteza Ubunge aendelee kukitumikia chama kwa namna nyingine
 
Mkuu, mbona kuna wabunge kibao wa Upinzani ni wana CCM? Subiri Magu akikabidhiwa chama hakika kutakuwa na mafuriko ya makamanda kujiunga na CCM
Leo yamekuwa siyo makapi tena.
 
Alitabiri komba na kombani ..lkn mwishowe wao ndo hatunao ..na ww jiandae kwa utabiri wako uchwara
Pole sana ndugu. Mbona Wasira aliyetabiri kuwa CHADEMA itakufa bado hajafa? Suala la kifo ni majaaliwa na mapenzi ya Allah
 
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.

Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.

Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.

Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.

Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.
Sasa kama ni tetesi yanini unawashwa na kuja kutuletea hapa jamvini? Zina umuhimu gani kwa jamii zaidi ya itikadi tu?
 
Uwenyekiti hamtaki kumpa Magu.Atakaye jiunga na chama cha hovyo labda ni chizi.
 
Sasa kama ni tetesi yanini unawashwa na kuja kutuletea hapa jamvini? Zina umuhimu gani kwa jamii zaidi ya itikadi tu?
Pole sana ndugu. Neno tetesi limeandikwa na Mods. Hii ni taarifa sahihi kutoka kwa chanzo sahihi
 
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.

Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.

Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.

Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.

Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.
Kumbe ccm pamoja na kashfa na vijembe vyoote kwa wapinzani lkn bado mnawatolea macho?
 
Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka
Ukitaka biashara zako ziende sawa hamia ccm!
 
Wakati ccm wakitalajia kuwapokea hao 18 tarehe 23/7 ....tarehe 25 upinzani utapokea vigogo kutoka ccm 180 ...hii inaitwa kampa , kampa tena ...
Upinzani umeshapoteza mvuto. Hakuna tena atakayejiunga na vyama mfu
 
Kwa hiyo sio mkutano wa kumpata mwenyekiti wa Ccm Taifa sasa imekuwa ni mkutano wa kupokea wapinzani??
Ccm siwawezi kwa vituko
Hivi ni Wapi wameandika wanapokelewa kwenye mkutano hapo!?
Mungu baba tusaidie tuelewe hata Kiswahili [emoji22][emoji24][emoji120]
 
Back
Top Bottom