Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaifahamu IVF wewe? Kuzaa sasa hakuhusiani na umri.Haya mkubwa
Why IVf Kwann mtu asitumie njia za kawaidaUnaifahamu IVF wewe? Kuzaa sasa hakuhusiani na umri.
Watu tunatamani Kila binadamu aishi vile sisi tunataka 😆 bahati nzuri haipo hivo vile Mungu si Athuman.NIni wamekosa?
Yaani sijui binadamu tukoje. Sasa mimi mtu ambae hajaoa au ameoa maisha yake yananihusu nini? Atajua mwenyewe na mipango yake.Watu tunatamani Kila binadamu aishi vile sisi tunataka 😆 bahati nzuri haipo hivo vile Mungu si Athuman.
Nakusabahi sana fundi wangu
Pole yaoNawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.
Mungu awakumbuke tu katika ukuu wake kwa kweli maana soko lao ndio hivyo tena lishaisha yani wamechuja.
Coca na mchai chai vinatibu nini mkuu?Oya mama Unazngua bana wewe wazazi wako wangekunywa coca na mchai Chai au dingi akamwaga nje wewe ungekuwepo?
Wanasema inatoa mimbaCoca na mchai chai vinatibu nini mkuu?
Aisee! Wanakunywa coca na kutafuna mchai chai kama mbuzi, sivyo?Wanasema inatoa mimba
Amen . Barikiwa sana my mpenziYaani sijui binadamu tukoje. Sasa mimi mtu ambae hajaoa au ameoa maisha yake yananihusu nini? Atajua mwenyewe na mipango yake.
Fundi wangu...mwaka umeisha huu. Nakutakia baraka tele my love.
Duuh!Most of them. Unapigia mbuzi guitar huo muda unautoa wapi?View attachment 3189500
So, Mkuu kwa kifupi wewe ni kahabaHuwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Hamna mwanamke ambaye hajaolewa ana furaha 100% ni ndoto ya kila mwanamke kuolewa.Kuna watu hawajaolewa na wanafuraha tele kuliko ninyi mlioolewa