Kuelekea mwaka mpya, nawahurumia wanawake wa 1990s na 1980s ambao hawajaolewa mpaka leo

Kuelekea mwaka mpya, nawahurumia wanawake wa 1990s na 1980s ambao hawajaolewa mpaka leo

Watakujibu ndoa c kipaumbele but after sircantance😃🔥 ku over due
 
Most of them.Unapigia mbuzi guitar huo muda unautoa wapi?
FB_IMG_1735500233874.jpg
 
Watu tunatamani Kila binadamu aishi vile sisi tunataka 😆 bahati nzuri haipo hivo vile Mungu si Athuman.

Nakusabahi sana fundi wangu
Yaani sijui binadamu tukoje. Sasa mimi mtu ambae hajaoa au ameoa maisha yake yananihusu nini? Atajua mwenyewe na mipango yake.

Fundi wangu...mwaka umeisha huu. Nakutakia baraka tele my love.
 
Nawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.

Mungu awakumbuke tu katika ukuu wake kwa kweli maana soko lao ndio hivyo tena lishaisha yani wamechuja.
Pole yao
 
Back
Top Bottom