DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ukitoa hizo namba inabaki nini?By 2025
Wa 2000 kamili-25 Wa 1999-miaka 26, 1998-miaka 27 1997-miak 28, 1998-miaka 29
(hili kundi nalo vipi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitoa hizo namba inabaki nini?By 2025
Wa 2000 kamili-25 Wa 1999-miaka 26, 1998-miaka 27 1997-miak 28, 1998-miaka 29
(hili kundi nalo vipi)
Aahh kudadeki, kazi ya kuchagua sana kila mwanaume anaekutongoza Jane MsowoyaHuwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Basi wasilalamike tukiwatombatomba na kuwatupa kuleKwani kuolewa ni basic need? Mbona mnakuwaga wapumbavu sana nyie??,
And i think you're depressed as F when it comes to family matters, au na wewe ni mtume paulo?Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto [emoji125][emoji125][emoji125]
Siyo maamuzi yao binafsi, walikataa wanaume kipindi wakiwa kwenye peak zao now ngoja waonje msoto, na kwa taarifa yako wanatamani waolewe ila ndo hivyo soko hawana, washazeeka, wamebaki kujifariji kisaikolojia eti ni maamuzi yetu kumbe wanaumia ndani kwa ndani, mi nafurahia sana wanavyotesekaKwani ndoa ni nini mpaka uwaonee huruma? Sio kila mtu kipaumbele chake ni ndoa wala mtoto. Ni maamuzi yao binafsi
Ndiyo afya zao za akili zipo matataniKwani wanapungukiwa nini?
Nadhani ungewasikitikia iwapo afya zao zingekuwa matatani kutokana na kukosa wanaume
Si ndioUnawahurumia wewe kama nani? Watapewa wazee wenzao .