Kuelekea mwaka mpya, nawahurumia wanawake wa 1990s na 1980s ambao hawajaolewa mpaka leo

Kuelekea mwaka mpya, nawahurumia wanawake wa 1990s na 1980s ambao hawajaolewa mpaka leo

Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,

Am 50+ no ndoa no mtoto [emoji125][emoji125][emoji125]
And i think you're depressed as F when it comes to family matters, au na wewe ni mtume paulo?
 
Kwani ndoa ni nini mpaka uwaonee huruma? Sio kila mtu kipaumbele chake ni ndoa wala mtoto. Ni maamuzi yao binafsi
Siyo maamuzi yao binafsi, walikataa wanaume kipindi wakiwa kwenye peak zao now ngoja waonje msoto, na kwa taarifa yako wanatamani waolewe ila ndo hivyo soko hawana, washazeeka, wamebaki kujifariji kisaikolojia eti ni maamuzi yetu kumbe wanaumia ndani kwa ndani, mi nafurahia sana wanavyoteseka
 
Back
Top Bottom