Tupo fiti,simba ya mwaka huu ipo imara kila sekta,hatujafungwa msimu huu halafu yanga watufunge?Naona wana Msimbazi tumejiamini kupita maelezo hili linanipa shaka sana..maana Kwenye soka bwana lolote laweza kutokea..
umeongea point mkuu, sitoshangaa kama Yanga akiibuka na ushindi, Sitashangaa!!Naona wana Msimbazi tumejiamini kupita maelezo hili linanipa shaka sana..maana Kwenye soka bwana lolote laweza kutokea..
Nipo moshiiNipo nipo nipooo. Muda ndio huooo unayoyoma.
Vp unaenda Taifa?
Mvua ishanyesha..amani imepotea,nasikia dar kuna mvua baadhi ya maeneo
Ambianeni jamaani. Sababu hamkawiiiNaona wana Msimbazi tumejiamini kupita maelezo hili linanipa shaka sana..maana Kwenye soka bwana lolote laweza kutokea..
Hahaaa. Sidhani Mkuu.Moja ataonekana anacheza sana zaidi ya mwenzake
Mmh. Kwani Msimu wa kwanza haikuwa Simba hii?Tupo fiti,simba ya mwaka huu ipo imara kila sekta,hatujafungwa msimu huu halafu yanga watufunge?
Duuh.Nipo moshii
Hahahaaa. Sio kwa kuwahi huko Mtani.Tayari kusubiri Gongowazi Kupapaswa.. This is Simba View attachment 760128
Mmh. Yaani Kichuya tu ndio amzimishe?Kuna mwana Yanga mmoja hapa amesikia kuwa Kichuya atakuwepo tena kwenye kikosi cha kwanza (sio sub) amezimia
Ewaaaaaaaaaa. Nakazia.Dar es Salaam Young Africa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee........................Daima mbele nyuma mwiko