Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... PERIOD!Kwa wenye akili tunajua hili Ni tamko la wazee
Hebu acheni upumbavu nyinyi. Yaani kila mtu atakayeongea tofauti dhidi ya Magufuli basi tayari maslahi yake yameuguswa au anatumika na mabeberu? Sijui akili zenu zitabadilika lini?Mzee Butiki nae maslai yake yameguswa ndiyo maana analialia Sasa!! Apambane na hali yake!!
Naapa mabadiriko nayataka!!!! Lakini sio kwa kuongozwa na Lissu, hana kanuni na hii ya kudhani kuwapendeza Wazungu na kujitia maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya Baba wa Taifa, nasema hata kama atashinda na kuchukua dola tutakuja zungumza mengine. Sio mkweli, tunza haya!!Hima hima asiye na mwana....muda mufaka umeshafika watanzania - huu ndiyo wakati mliousubirri ufike toka 1995... mabadiliko ya kweli kama mwalimu alivyotuachia wosia ndiyo haya sasa - wote kwa umoja wetu twende na Tundu Antipas Lissu. Kijana Msomi, Mzalendo, Mwerevu ... atatusaidia mengi mengi mno hasa kuuweka sawa huu muungano wetu na kuendeleza Katiba mpya alipoachia Jaji Warioba.
Naomba Mh. Rais Lissu wakati wa uzinduzi basi awepo na JK maana kwenye katiba hiyo ana JASHO lake jingi saana.
hawa wenzetu CCM wamejisahau mno, wanatawaa kwa mazoea - hawa wapumzike... watuache kwanza turudishe tunu ya taifa letu.. Tanzania si nchi ya kudharaulika kimataifa no no noo.
Huu Ujumbe umfikie pia Kamanda Sirro na Mahera wa tume.
Lissu is the Game Changer and Visionary Leader. He is the sixth president of the URT.Inaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu.
Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.
Wazee wanajua mengi Wana uzoefu.Kwa wenye akili tunajua hili Ni tamko la wazee
Wakati mwingine kunguru mwoga huponyesha bawa lake. Wengi hawapendi hiyo hali. Umoja haupo. Yule jasiri aliyeupinga hadharani UDIKTETA UCHWARA, tuliona alichokipata.Kumbeeeee uwoga husababishwa na ujinga.
Unaweza ukaona kisiki ukasema ni mchawi,asante mzee Butiku
Umeniudhi tu kwa hiyo "damu ya Kenya"; bila hiyo andiko lako lilikuwa zuri sana.Watz sio waoga ni kwamba walikosa mtu jasiri makini Lisu, thus ccm imekuwa ikiwaburuza. Sasa wapo tayari, Lisu amewekewa damu ya Kenya ameoondolewa damu ya uoga, kupitia damu yake ukombozi umefika.
Mateso tena Basi,
Maprofesa wa Tz ni wanjinga tu, kama profesa analala kwenye ofisi za chama huu siujingaMzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Kawe Alumin, na MAGONJWA MTAMBUKA🤣🤣🤣cremea /bia yetu na wenzake huwaoni hapa
Tatizo kubwa linalotuathiri watanzania tukiacha uoga ni UNAFIKI. Mtanzania kaumbwa na unafiki wa kusifia jambo hata kama linamkera. Endapo kungetokea watu toka siku ya kwanza ya Dkt. Magufuli kuingia madarakani na kufanya mambo ya kinyume na katiba ilipaswa walio karibu yake wazungumze.
Lakini walimpigia makofu huku wakisonya pembeni. Hii ilipelekea kuamini kuwa anachofanya ni sahihi na kuwa hakuna anaeweza kumhoji. Unafiki wetu watanzania ulihalalisha kukandamizwa kwetu kupelekea kufika tulipofika leo.
Bw. Magufuli ni muendelezo wa mfumo ambao ulishawekwa na waasisi wake, mfumo uliojengwa kwa unafiki na nidhamu ya uoga.
Wasio julikana Mzee. Ina maana huwajuwi... Tumechoka mbaya
Unamfahamu Butiku Vizuri? Unafahamu nini alichokifanya akiwa kwenye nafasi zake? Tumefikia hatua ya kuunga mkono kila anayeonekana kusema chochote cha kukusaidia kupata kura moja. Jinsi hii tutajikuta tunawakariibisha watu wa jinsia moja, mashoga.Inaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu.
Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.
Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema ni Edwin Mtei, wa pili Bob Makani, wa tatu Mbowe.Huko Chadema asilimia 100 wamejaa woga juu ya mwenyekiti wao hakuna anayethubutu kugombea uwenyekiti,
Mwenyekiti ni mmoja tu. Na katiba haina kipengele cha ukomo wa mihula kwa nafasi ya uwenyekiti na wote wameufyata.
HAHAHAAAWazee wanafiki sana hawa.na wana wivu...kipind wako madarakan walifanya nini cha maana.
Aisee . . . for sure we need to learn the hard wayFundisho kwa mjinga ni taabu,taabu ikiwa kubwa akili itawakaa,nashauri jiwe akirudi ikulu,aendelee kufanya maisha kuwa magumu na magumu ili wananchi wapate shida kubwa kubwa ili wapate fundisho.
mkiona taabu na kila kona ya nchi watu wanalalamika mjue kumekucha hapo ndo utakuwa mwisho wa ccm