Uchaguzi 2020 Kuelekea siku ya kupiga kura, Mzee Butiku apindua meza kibabe

Uchaguzi 2020 Kuelekea siku ya kupiga kura, Mzee Butiku apindua meza kibabe

Inaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu.

Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.

Aache unafiki anajua Mzee Kasela na Kassanga Tumbo walivyo dhalilika na kufa maskini kwa sababu ya kutokuwa waoga, na hata Raia wengine enzi hizo land line zinasikilizwa na Mumiani.
 
Mwenge ndio ulikuwa unawafanya watz kuwa wajinga na waoga, this time sababu haupo we uoni akili za watz zilivofunguka.
Niliwahi kuwaza hichi kitu lakini pia nikasema ngoja nikae niangalie baada ya 28 October nini kitatokea
 
Watz sio waoga ni kwamba walikosa mtu jasiri makini Lisu, thus ccm imekuwa ikiwaburuza. Sasa wapo tayari, Lisu amewekewa damu ya Kenya ameoondolewa damu ya uoga, kupitia damu yake ukombozi umefika.
Mateso tena Basi,
Kwani lisu aliwahi kuwa mwoga?
 
Mzee ana uhakika wa pension hivyo hana cha kupoteza.
 
Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?

Magu anaogopwa bwana acha kabisa

Kuna siku nilikuwa na boss mmoja wa serikali kwenye Gari akapigiwa simu na magu

Alikuwa amevaa Raba akaanza kutafuta viatu vya offisini aliweka siti ya nyuma hahaha

Yan hapo simu inaita mzee wa watu anatokwa na jasho utadhan sio mteule wake
 
Why utuambie damu ya Kenya imemuondoa uwoga
Lile jembe na limezidi kuwa imara
Damu ya Kenya imemuongezea ujasiri, kumpiga risasi wamemuongezea mwendo.
Mambo ya kusilence watu yalifaa miaka ya 60 na sio hii watu Wana global vision,Kama Nyerere tu alisoma upepo akaona heri kulinda heshima kuliko cheo wwe nani uendeshe gari automatic kwa mfumo wa manually
 
Wazee wanafiki sana hawa.na wana wivu...kipind wako madarakan walifanya nini cha maana.
Ukiona hivyo ujuwe Magu kamkatia Umeme,maana hao Wazee wengi ndiyo wamejimilikisha Mali zetu! Magu kaza ili wote watoke mafichoni!!
 
Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Maprofesor wengi wana ujinga unaosababishwa na njaa.

namfahamu profesor mmoja tuu hapa Tanzania aliyekuwa huru sana.nadhani ni Prof.Asadi
 
Inaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu.

Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.

Hivi ni kweli mzee kama warioba na kijana wa makamo kama Pascal Mayalla Uoga wao umetokana na ujinga? Hivi habari Dr ulimboka nani anazitaka tena! Tahadharini Enyi vijana msijazwe mihemko
 
Back
Top Bottom