Uchaguzi 2020 Kuelekea siku ya kupiga kura, Mzee Butiku apindua meza kibabe

Uchaguzi 2020 Kuelekea siku ya kupiga kura, Mzee Butiku apindua meza kibabe

Hahaha yule anaye PURICH, mwambieni wananchi hatuko reachable!
 
Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Hao ma 'propesa' tatizo lao njaa.
 
Tatizo kubwa linalotuathiri watanzania tukiacha uoga ni UNAFIKI. Mtanzania kaumbwa na unafiki wa kusifia jambo hata kama linamkera. Endapo kungetokea watu toka siku ya kwanza ya Dkt. Magufuli kuingia madarakani na kufanya mambo ya kinyume na katiba ilipaswa walio karibu yake wazungumze.

Lakini walimpigia makofu huku wakisonya pembeni. Hii ilipelekea kuamini kuwa anachofanya ni sahihi na kuwa hakuna anaeweza kumhoji. Unafiki wetu watanzania ulihalalisha kukandamizwa kwetu kupelekea kufika tulipofika leo.

Bw. Magufuli ni muendelezo wa mfumo ambao ulishawekwa na waasisi wake, mfumo uliojengwa kwa unafiki na nidhamu ya uoga.
Wapo waliokosoa ila hakutaka kusikia akikosolewa
 
Wazee wanafki sana hawa.na wana wivu...kipind wako madarakan walifanya nn cha maana

Wanafiki ni wale wanaowapa sifa zisizo wastahili. Na sijui Watanzania watabadilika lini. Huyu anatembelea nyota ya Nyerere wenye akili wanalijua hilo. Na ishukuriwe familia ni kama inawapotezea kitu flani kuwa heshimu tu.

Akawawaaminishe wajinga kuwa Rais hatakiwi aagopwe. Huyu alikuwa hamuogopi Nyerere, huyu? Uongoze watu 60M khalafu usiogopwe na utegemee mambo yaende vizuri.
 
Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Unaweza ukawa profesa na bado ukawa mjinga, angalia lipumba, kabudi nk[/QUOTE]
 
Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Una juwa manaa ya ujinga mbona watu wana PhD ila bado ni wa shamba na wajinga
 
Mzee Meko lazima apigwe stop, hili si taifa la kupewa matamko na taasisi za kimatafa kuhusu Demokrasia na haki za binadamu. Kuna sehemu tumejikwaa.

Miaka 5 imemtosha!! tunataka kujenga taifa letu lirudi kwenye misingi ya Upendo, Haki na Kuheshimiana regardless itikadi zetu za vyama.
Salute Mkuu...
 
Hima hima asiye na mwana....muda mufaka umeshafika watanzania - huu ndiyo wakati mliousubirri ufike toka 1995... mabadiliko ya kweli kama mwalimu alivyotuachia wosia ndiyo haya sasa - wote kwa umoja wetu twende na Tundu Antipas Lissu. Kijana Msomi, Mzalendo, Mwerevu ... atatusaidia mengi mengi mno hasa kuuweka sawa huu muungano wetu na kuendeleza Katiba mpya alipoachia Jaji Warioba.

Naomba Mh. Rais Lissu wakati wa uzinduzi basi awepo na JK maana kwenye katiba hiyo ana JASHO lake jingi saana.

hawa wenzetu CCM wamejisahau mno, wanatawaa kwa mazoea - hawa wapumzike... watuache kwanza turudishe tunu ya taifa letu.. Tanzania si nchi ya kudharaulika kimataifa no no noo.
 
Kumbeeeee uwoga husababishwa na ujinga.
Unaweza ukaona kisiki ukasema ni mchawi,asante mzee Butiku
BIBLIA
(Ufunuo wa Yohana 21 : 8)

8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Laana na baraka ya mtu yeyeto imo ndani ya ulimi wake, ulimi ndio utoa hatma ya maisha ya binadamu yeyeto
 
Back
Top Bottom