Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ma 'propesa' tatizo lao njaa.Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Unasema hayo wewe kama nani?Lisu haweZ shinda hata wew unalifaham hilo....au nasema uongo...hata apate kura 90%...hawez kua rais....unalijua hilo nadhan
Wapo waliokosoa ila hakutaka kusikia akikosolewaTatizo kubwa linalotuathiri watanzania tukiacha uoga ni UNAFIKI. Mtanzania kaumbwa na unafiki wa kusifia jambo hata kama linamkera. Endapo kungetokea watu toka siku ya kwanza ya Dkt. Magufuli kuingia madarakani na kufanya mambo ya kinyume na katiba ilipaswa walio karibu yake wazungumze.
Lakini walimpigia makofu huku wakisonya pembeni. Hii ilipelekea kuamini kuwa anachofanya ni sahihi na kuwa hakuna anaeweza kumhoji. Unafiki wetu watanzania ulihalalisha kukandamizwa kwetu kupelekea kufika tulipofika leo.
Bw. Magufuli ni muendelezo wa mfumo ambao ulishawekwa na waasisi wake, mfumo uliojengwa kwa unafiki na nidhamu ya uoga.
Wazee wanafki sana hawa.na wana wivu...kipind wako madarakan walifanya nn cha maana
Unaweza ukawa profesa na bado ukawa mjinga, angalia lipumba, kabudi nk[/QUOTE]Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Kheeeee hii ni KaliCCM mpya imekataliwa na makundi yote, hata Lissu na Magufuli wakipigiwa kura na Baraza la mawaziri tu pakiwa na tume huru Lissu anashinda.
Angeifigia CCM angegeuka kuwa mzee wa heshima eeeMzee Butiku ameshachoka kiumri na kifikra
Arudi Kijiji kwake akapumzike
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwenge ndio ulikuwa unawafanya watz kuwa wajinga na waoga, this time sababu haupo we uoni akili za watz zilivofunguka.
[/QUOTE]Na yule anayegombea Ubunge Ubungo,hovyo kabisaUnaweza ukawa profesa na bado ukawa mjinga, angalia lipumba, kabudi nk
ahahaaaa. akikujibu nitag mkuu MatolaIna maana Profesa haewezi kuwa mjinga?
Kwani Lipumba siyo Profesa?
mlizoea huko nyuma. safari hii tutatiana mimba mchana kweupeLisu hawezi shinda hata wew unalifaham hilo....au nasema uongo...hata apate kura 90%...hawez kua rais....unalijua hilo nadhan
Una juwa manaa ya ujinga mbona watu wana PhD ila bado ni wa shamba na wajingaMzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Salute Mkuu...Mzee Meko lazima apigwe stop, hili si taifa la kupewa matamko na taasisi za kimatafa kuhusu Demokrasia na haki za binadamu. Kuna sehemu tumejikwaa.
Miaka 5 imemtosha!! tunataka kujenga taifa letu lirudi kwenye misingi ya Upendo, Haki na Kuheshimiana regardless itikadi zetu za vyama.
Hima hima asiye na mwana....muda mufaka umeshafika watanzania - huu ndiyo wakati mliousubirri ufike toka 1995... mabadiliko ya kweli kama mwalimu alivyotuachia wosia ndiyo haya sasa - wote kwa umoja wetu twende na Tundu Antipas Lissu. Kijana Msomi, Mzalendo, Mwerevu ... atatusaidia mengi mengi mno hasa kuuweka sawa huu muungano wetu na kuendeleza Katiba mpya alipoachia Jaji Warioba.
Naomba Mh. Rais Lissu wakati wa uzinduzi basi awepo na JK maana kwenye katiba hiyo ana JASHO lake jingi saana.
hawa wenzetu CCM wamejisahau mno, wanatawaa kwa mazoea - hawa wapumzike... watuache kwanza turudishe tunu ya taifa letu.. Tanzania si nchi ya kudharaulika kimataifa no no noo.
Ulikusudia kusema niniWazee wanafiki sana hawa.na wana wivu...kipind wako madarakan walifanya nini cha maana.
Mkuu umetisha.CCM mpya imekataliwa na makundi yote, hata Lissu na Magufuli wakipigiwa kura na Baraza la mawaziri tu pakiwa na tume huru Lissu anashinda.
BIBLIAKumbeeeee uwoga husababishwa na ujinga.
Unaweza ukaona kisiki ukasema ni mchawi,asante mzee Butiku