Kuelekea siku ya Maandamano Machi 20 Nchini Kenya, Ujinga na uroho wa Madaraka vimetawala

Kuelekea siku ya Maandamano Machi 20 Nchini Kenya, Ujinga na uroho wa Madaraka vimetawala

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Nashindwa kuwaelewa hawa ndugu na jirani zetu wakenya hakika kiongozi aina ya raila ni kiongozi asiyefahamu na mroho wa madaraka kupindukia.

Katiba mpya walisha ipigania wakaipata na ndio wakaitumia kwenye uchaguzi mpaka imewapa kiongozi wa chaguo la wengi lakini mambo yanaonekana bado haitoshi.

Huenda hata vyama vya upinzani hapa kwetu vikapewa katiba wanayoililia na bado wakaona haitoshi, we learn a lot.

FB_IMG_1679060344162.jpg

FB_IMG_1679071698332.jpg
 
Binadamu haridhiki wala kutosheka, siasa ndivyo zilivyo...
 
Namuunga mkono muzee RAO

moja, alisema kashinda uchaguzi na akatoa ushahidi ila siku msimamizi mkuu wa uchaguzi Chebukati akaingia chimbo na fasta akamtangaza mtu wake.

Muzee RAO akasema naomba mruhusu wataalam waingie kwenye mfumo wa tume ya uchaguzi wawaonyeshe wizi wenu, hilo hadi leo ndg Chebukati kagoma.

Muzee RAO kawaita wadau wake akawaonyesha, wakaona, akawaita kina Wajakyo prof, akaona na akaamua kumuunga mkono.

Muzee RAO akasema Zakayo mtoza ushuru mimi nipo tayari kufa na damu yangu iwe juu yako na familia yako dhidi ya wakenya na kama mbwai na iwe mbwai, analiamsha on Monday.

Tatizo la Afrika ni aina ya wanasiasa na viongozi flani flani ambao hao ndiyo wanaovuruga nchi husika, mfano mzee RAO anachokitaka ni kama ilivyokuwa kwa mzee wetu Lowasa, yaani anataka kustaafu siasa akiwa high profile retired.
 
Sioni maandamano Kenya hata kidogoila nawaasa vijana acheni siasa taka mkivunjika miguu na mikono watakapata taabu ni familia zenu. Jifunzeni siasa za Tz
 
Back
Top Bottom