Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Nacho shindwa kuelewa ni nini kazi za JWTZ? ni kulinda mipaka au kulinda amani ndani ya nchi?
Halafu kibaya zaidi wakati huyu MNAJIMU anaongelea hayo KIKWETE naye anaongelea hayohayo, yani kama vile walikaa kikao kimoja wakakubaliana mada ya leo hiwe hiyo!
Halafu kibaya zaidi wakati huyu MNAJIMU anaongelea hayo KIKWETE naye anaongelea hayohayo, yani kama vile walikaa kikao kimoja wakakubaliana mada ya leo hiwe hiyo!