Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
Nashindwa kuilewa misimamo ya Zitto! Siku si nyingi alikuja hapa ukumbini akizungumzia kustaafu siasa ili aweze kutumikia profession aliyoisomea, mara anagombea uenyekiti wa Taifa Chadema, sasa amejitoa sijui atakuja na lipi?

Kwani akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA hawezi pia kuitumikia profession yake? Mbona Mbowe ni Mwenyekiti na bado kipindi hicho hicho ndio alienda nje kusoma?

Pia watu kama Lipumba mbona bado wanaendelea na professions zao? Ukiwa mbunge ndio huwezi kuendelea na kazi zingine maana ubunge ni kazi ya muda wote.

Waliokuwa wanamcheka Malecela kusema ni utaratibu wa CCM kwa rais kuongoza miaka 10 wako wapi?

Hii mizee ya nchi yetu ubongo wao umeanza kufifia. Watuachie vijana tuongoze nchi. Malecela, Mtei, Makani, Kingunge na wengine kaeni pembeni. Hamna ushauri wowote wa maana.
 
Watu waache ujinga wa kuzungumzia uchagga , cause this issue has got nothing to do with ukabila. It can be plainly seen that Zitto's head is getting to big and he is unknowingly being used, by the few elites, to demolish Chadema. Before Zitto instigated this mayhem, Chadema's credibility as well as popularity was growing like California's fire; but now the situation will never be the same.

It is important also for other member to look at this issue critically before jumping on the bandwagon. Zitto is not matured enough to contend for that position; Wahenga once said, "Longevity is virtue." This guy is plainly ill-advised; if he wants to be successfully in politics then he has to be humble and patient. The party's interests should always precede individual's interests. Another thing that ought to be looked at is Zitto's personal life, is he married? If the answer is no then he should do that first.
 
Mbowe na Ndesamburo ndo wafadhiri wa CHADEMA sasa hiyo demokrasia inakujaje?
Na hata siku CHADEMA ikichukua nchi ndo mtawajua ndugu zetu wa kaskazini walivyo. Hawa walimshida mwl. nyerere pamoja na kuwabana lakini angalia pesa za maendeleo zilikuwa zinaishia mikoa hiyo hasa kilimanjaro. Sasa wakishika madaraka tutakoma sisi wa kibondo ambao hata chini ya CCM tunakiona cha moto.

Sisemi wachaga kuwa na chama ni vibiya lakini tatizo ni kwamba chama (CHADEMA) walikianzisha kwa fedha zao, utawaambiaje leo eti demokrasia wakati walikukaribisha tu wewe na hukuchangia chochote???-hili ni swali kwa zitto.

Tatizo sio ufadhili. Tatizo hapa ni kuwa CHADEMA unamaanisha Mbowe, Slaa and Zitto. Hawa watu wataleta mgawanyiko. Hili mbona lipo wazi? Tabia za Zitto sio kuwa ni zawafuasi wake wote maana kila mmoja anamshabikia kwa interest zake. KILA MTU ANAMSHABIKIA KWA INTEREST ZAKE. Khali kadhalika Mbowe na wafuasi wake.

Kungelikuwepo na mgombeaji mwingine ijapokuwa mimi si mwanachama nimsaidia kwa hali na mali kushinda. Future ya Tz naiona through CHADEMA sioni kama ni kugombea sioni busara at this stage Zitto na Mbowe kugombea kwa mpigo. Na kwa tabia za Zitto through mabandiko na maelezo yake sio wakati wake kugombea. Kama wazee wameweza kumshauri nina imani will make sense to him in near future.

Tusikopi everything from West, tujaribu kutake time kuirasimisha kwenye hali halisi zetu.
 
Something is seriously wrong somewhere.

kama ni kweli Zitto alichukua na kurudisha form kama 'mgombea binafsi' kama anavoema Ngurumo, ninapata shaka sana na mshikamano let alone collective responsibility ndani ya CHADEMA.

Hili bado lina kawingu flani hivi, kwa nini aliamua (Zitto) kufanya hivo, i.e kugombea kwa namna alivofanya? Nadhani hili linahitaji ufafanuzi wa kina ili kuniondolea wasi wasi ambao umeanza kujijenga dhidi ya nia yake hasa ya kugombea uenyekiti.

Najifariji kuwa aliload credit kwenye simu yake akataka afanye teleconference na Slaa, Mbowe na Makani ila kwa bahati mbaya hawakupatikana na kwa sababu alishacheck in while his friends wanamforce ikabidi ajaze form akirudi atawasikiliza. Then haya yametokea.

Sitaki niamini kuwa alifanya hivyo maana wengi tutaumia
 
Watu waache ujinga wa kuzungumzia uchagga , cause this issue has got nothing to do with ukabila. It can be plainly seen that Zitto's head is getting to big and he is unknowingly being used, by the few elites, to demolish Chadema. Before Zitto instigated this mayhem, Chadema's credibility as well as popularity was growing like California’s fire; but now the situation will never be the same.

It is important also for other member to look at this issue critically before jumping on the bandwagon. Zitto is not matured enough to contend for that position; Wahenga once said, “Longevity is virtue.” This guy is plainly ill-advised; if he wants to be successfully in politics then he has to be humble and patient. The party's interests should always precede individual's interests. Another thing that ought to be looked at is Zitto’s personal life, is he married? If the answer is no then he should do that first.

Mkuu umenifumbua macho, hivi kumbe dogo anataka kuongoza chama hana familia ya kwake mwenyewe? Hivi Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu hili??
 
Watu waache ujinga wa kuzungumzia uchagga , cause this issue has got nothing to do with ukabila. It can be plainly seen that Zitto's head is getting to big and he is unknowingly being used, by the few elites, to demolish Chadema. Before Zitto instigated this mayhem, Chadema's credibility as well as popularity was growing like California’s fire; but now the situation will never be the same.

It is important also for other member to look at this issue critically before jumping on the bandwagon. Zitto is not matured enough to contend for that position; Wahenga once said, “Longevity is virtue.” This guy is plainly ill-advised; if he wants to be successfully in politics then he has to be humble and patient. The party's interests should always precede individual's interests. Another thing that ought to be looked at is Zitto’s personal life, is he married? If the answer is no then he should do that first.
once again zito is rocking the boat.....
tokea zito asupport dowans uongozi wa juu wa chadema ulikuwa umegawanyika, kwa ajili chama kilikuwa aki support dowans, na wote tunakumbuka kuwa zito alikaa pembeni mda mrefu mpaka kampeni za ubunge ndio akajitokeza......

hata cuf leo hii lipumba na seif wakichukua fomu za kugombea uwenyekiti basi cuf ina bust....
zito amefanya wrong move kuchukua fomu za kugombea uenyekiti bila kukaa faragha na kujadili kwa kina yeye (zito), slaa na mbowe...
ni mambo ya aibu sana freeman kusikia kwa wanachama wenzie kuwa zito amechukua form, freeman alitakiwa ajue kwanza na sio kusikia kutoka kwa wanachama wengine
zito alishindwa nini kumuambia freeman kuwa anachukua form na wakapiga picha ya pamoja kuonyesha mshikamano ndani ya chama???

zito aangalie hao watu wanaomtumia kutoka ccm, wakishakimaliza chadema, yeye atabaki akiwanyenyekea ili wamuingize kwenye system

watu mnangangania uchaga na upemba, reality ni kuwa ccm inapata upinzani kutoka kwa hivi vyama viwili na ndio maana inaviita vya kikabila na kidini
 
Lakini na mimi japo nilimwamini zitto ktk hoja zake naanza kuingiwa na wasiwasi hasa nikijaribu kukumbuka alivyo handle issue ya dowans. Najiridhisha kabisa kuwa kuna mkono wa CCM nyuma ya zitto, lakini namkumbusha tu kuwa akumbuke Dk. Masumbuko lamwai walivyo mtenenga CCM na leo kawa bubu. Zitto, kama ulikula mlungula juu ya dowans, basi iache CHADEMA uende zako make isiwe taabu.

Tunao vijana akina Mnyika watafanya kazi tu.
 
Hongera Zitto kuleta ushirikiano kwa kujitoa Kugombea...ila wadau tusishangae Ushirikiano utakaoletwa na Akina Sitta na Wenzake. ktk Kikao cha Bunge lijalo October..!!!

Ila Chadema tuhuma za kuwapa Wanachama wenzenu kuwa wanatumiwa ni Mbaya sana...hazitofautiani sana na CCM ambao wamewatuhumu akina Sitta Kutumiwa...!!!

Kweli kabisa, CCM wataiga mfano huu, na ili kulinda "mshikamano" kwenye chama chao, Sitta atafanya kila aambiwalo.
Tunapiga hatua moja mbele kwenye demokrasia na kurudi tatu nyuma.
 
Mkuu umenifumbua macho, hivi kumbe dogo anataka kuongoza chama hana familia ya kwake mwenyewe? Hivi Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu hili??


Zitto ameoa na nadhani ana mtoto
 
Maelezo ya Ngurumo yamekaa kama vile Zitto mwaka 2005 alikuwa na uwezo mkubwa sana ndani ya chama. Sasa kama kitu kama hicho anachotaka kukifanya Zitto kilifanyika na Mbowe mwaka 2005, hapa tatizo liko wapi? Walifanya nini kuibadili hiyo hali? Waliweka MIIKO kwenye katiba ili kutokuruhusu WEZI na VIBAKA kuingia ndani ya chama?

Naamini wanaosema kuwa kwa hali ilivyo sasa, basi Mbowe pia angelijitoa kwenye uchaguzi huo. Na hapo angelibaki akiomba mambo yasiwe mazuri sana ndani ya CHADEMA kwani uchaguzi ujao angelifanya Bounce back ya Zuma. Angelirudi kuwa Mwenyekiti kwa NGUVU kubwa zaidi. Sasa kwa MWENDO huo nasema:
"Zitto kaa pembeni. Subiri uchaguzi ujao na kama Mbowe ataboronga basi kutakuwa na haja ya KUUBADILI uongozi wa KICHAGA au kuanzisha Chama kipya ambacho hakitakuwa KINA MWENYEWE ila cha WANACHAMA. Kuanzia mwanzo lazima ijulikane hivyo.
CCM ni cha Nyerere na WANAE/wajukuu wake .......
CHADEMA cha Wachaga (Mtei na wenzake na sasa wamempa Mbowe/mkwe)......
CUF cha Maalim Seif na kaka Lipumba kawekwa PICHA .......
Vyama vingine wala sina la kusema.......

Chama cha kweli cha WATANZANIA kinahitajika bila ya kuruhusu TAJIRI yoyote kukidominate.

Sasa ni shetani gani amekushika wewe na hayo makabila mengine (kama kweli mambo ni kama unavyofikiri) mkashindwa kuanzisha chama chenu?? Unangojea kutafutiwa, kutafuniwa ili umeze siyo?
 
Bila shaka wazee wa Chadema wameshaona hatari ya Zitto kushindana na Mbowe ndio maana wamemuomba a-withrdaw. Lakini ukweli ni upi? Iwapo Zitto angegombea na kushinda nafasi ya uenyekiti, Mbowe angekuwa tayari kumpa support? and vice versa. Au ndio ungekuwa mwanzo wa makundi ndani ya chama hiki cha upinzani ambacho angalao kina mwelekeo fulani unaotia moyo? Bila shaka akina Dk Slaa walio karibu zaidi na wanasiasa hawa wawili manafahamu zaidi hilo.
 
Wana JF si kawaida yangu kuandika sanasana na imenilazimu leo... Tangu zamani niliamini kuwa CHADEMA kinaweza kuwa chama cha 'Demokrasia' na daima kitaruhusu 'Demokrasia' kuchukua mkondo wake lakini tunapoelekea inaelekea sivyo.

Naam, nazungumzia kikao kilichofanyika leo na 'wazee' wa CHADEMA kuanza 'kumshinikiza' Zitto Kabwe kuondoa jina katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti.

Ndiyo, nilikuwa sioni sababu ya Zitto kugombea mwanzoni lakini kwakuwa alishaweka jina nilitarajia atapewa nafasi kuweza kudhihirisha kuwa demokrasia imeweza kuchukua mkondo wake ndani ya CHADEMA.

Nasisitiza, napinga kwa sana njia hii inayotumika kuhakikisha Freeman anabaki mgombea pekee, inawezekana kwa maslahi ya chama chenu mmefanya hivyo kukinusuru chama (kama mnavyodhania) lakini binafsi (si msimamo wa JF) naamini ndio mnakizika chama... Bado mna muda, mwacheni Zitto agombee na akishindwa ashindwe kidemokrasia...

Kama ni kuondoa basi wote wawili (Zitto na Freeman) waondoe majina na ifikiriwe namna mpya.

Katika hili, mmechemsha!

tupo ukurusa mmoja Mkuu
 
Lunyungu,

Kuna kipindi mheshimiwa alikuja hapa and defended his decision not to re-run for Kigoma parliamentary position. Nadhani you are right kwani nimesoma tena nakuona ya kuwa jamaa alimention Patner wake....So please allow me to take my aforementioned comment back.

This is what Zitto said :

Kweli jamani, hata kama mtu ana ajenda ya siri, siwezi kupata fedha za kununua gari ninayoipenda? Hivi sasa nina gari 5 - Prado 2 (zote sasa nimezigawa kwa Wagombea Ubunge watarajiwa wa CHADEMA mwakani, Nissan Patrol 1 ambayo inatumika Jimboni kwangu, Prado 2 moja anayotembelea Jacquiline, my partner na VX ambayo ninaitumia mimi kwa ziara ndefu za Chama. Gari zote nimeziorodhesha katika fomu za maadili na zile za kuzitoa nitazitoa baada ya kubadili umiliki.
 
Wana JF si kawaida yangu kuandika sanasana na imenilazimu leo... Tangu zamani niliamini kuwa CHADEMA kinaweza kuwa chama cha 'Demokrasia' na daima kitaruhusu 'Demokrasia' kuchukua mkondo wake lakini tunapoelekea inaelekea sivyo.

Naam, nazungumzia kikao kilichofanyika leo na 'wazee' wa CHADEMA kuanza 'kumshinikiza' Zitto Kabwe kuondoa jina katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti.

Ndiyo, nilikuwa sioni sababu ya Zitto kugombea mwanzoni lakini kwakuwa alishaweka jina nilitarajia atapewa nafasi kuweza kudhihirisha kuwa demokrasia imeweza kuchukua mkondo wake ndani ya CHADEMA.

Nasisitiza, napinga kwa sana njia hii inayotumika kuhakikisha Freeman anabaki mgombea pekee, inawezekana kwa maslahi ya chama chenu mmefanya hivyo kukinusuru chama (kama mnavyodhania) lakini binafsi (si msimamo wa JF) naamini ndio mnakizika chama... Bado mna muda, mwacheni Zitto agombee na akishindwa ashindwe kidemokrasia...

Kama ni kuondoa basi wote wawili (Zitto na Freeman) waondoe majina na ifikiriwe namna mpya.

Katika hili, mmechemsha!


Ukubaliane nao usikubaliane, ukweli utabaki pale pale. Chama kina wenyewe!!
 
Sasa ni shetani gani amekushika wewe na hayo makabila mengine (kama kweli mambo ni kama unavyofikiri) mkashindwa kuanzisha chama chenu?? Unangojea kutafutiwa, kutafuniwa ili umeze siyo?

Wewe kweli ni MACHO MDILIKO.

Wewe kila wazo la mtu ni Shetani?

Usiwe na wasiwasi. Siku Wanyamwezi/Wasukuma tutaanzisha chama chetu basi nyie wengine mtakuwa na hali mbaya sana. Nilifikiri UTAKUWA na akili ya kuliona hilo ila lohh. Sipendi Wanyamwezi waungane na kuwa na chama kimoja maana hakutakuwa na balance. Ila kwa mwenendo wa Chadema na CUF kwa kweli ni au tuwe na chama chetu au TURUDI CCM.

Kuanzia leo NARUDI CCM tukabanane hukohuko na MAFISADI huku nikisubiri Chama cha Ngoshas.
 
Kwani lidhiwani kikwete na kiwete inakuwaje au umemuona Lucy peke yake. Makamba na mwanae pale ikulu vipi?
 
Naona na sisi Wanyamwezi tuwe na chama chetu.........

Sheria zazu zitakuwa SIMPLE. Kibaka anapelekwa ISELA-MAGAZI. Hapo mtu atachzwa na Sungusungu hadi aseme aliiba kiasi gani na nani washiriki wake.

Neno kibaka halitajali KABAKA wapi. Hata wavaa suti na kubaka kwa kalamu, ni vibaka tu.
 
Naona na sisi Wanyamwezi tuwe na chama chetu.........

Sheria zazu zitakuwa SIMPLE. Kibaka anapelekwa ISELA-MAGAZI. Hapo mtu atachzwa na Sungusungu hadi aseme aliiba kiasi gani na nani washiriki wake.

Neno kibaka halitajali KABAKA wapi. Hata wavaa suti na kubaka kwa kalamu, ni vibaka tu.

Chama chenu ci kafu au?kile chama cha mapalala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom