Unajua Mkuu Mkandara, Zitto hatumpimi kwenye mizani ile ile tunayopimiwa kina Dilunga na wewe na sijui Sikonge, Mwafrika etc. Why, because who the hell is Dilunga? Who the heck is Chuma or SerayaMajimbo sijui MpakaKieleweke? Vivuli vya watu tu! Au some sleazy editors ambao have nothing to lose na zogo la CHADEMA. Kina Kilanda ni wahariri wanaotaka kuuza magazeti tu. Zitto ni kiongozi mwandamizi wa upinzani, na mheshimiwa mbunge. Hawezi kutupiwa jiwe na sijui Eric Ongara, Kilanda, halafu akarudishia vijembe vya kikabila tukasema hakuanza yeye. Zitto ndio mkubwa kisiasa. Hata mama mtu akikuta watoto wanagombana anaweza kumuwashia moto mkubwa mdogo asiguswe japo ndio aliyeanzisha ukorofi, why, because mkubwa should know better, mkubwa has heavier responsibilities. Umeona Mbowe alivyotulia?
Zitto amelikoroga.
Zitto amezungukwa na kina nani hivi? Kina Kikwete na Edwin Mtei? Ndio wanao mshauri njia? I mean, the man needs somebody to tell him Zitto mdogo wangu, siku nyingine ukija kwenye maskini za kisiasa don't drug your mother with you! Just don't let your mother speak for you, they gonna drug you and your mother into the mix! Umeona headlines za leo? "MAMA ZITTO AFYATUKA"! Sio Bi. Shida Salum, Mwenyekiti wa Walemavu, no, "Mama Zitto amfyatukia Dr. Slaa!" mara sijui "First Lady".... nikadhani First Lady wa JF, kusoma nakuta Mama Zitto, I said damn, this thing done gotten cuckoo now!