Wee muache tumuangukie😂Unatutingisha mkuu
Ni almost mitandao yote ndg. Niko kwenye virtual meeting na wadau, oda inakatakata ile mbaya.Jamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Kweli mkuu, hii leo ni trela kesho ndo funga kazi huenda hata simu hazitatoka.Na bado kesho ata jf hutaiona
Kuna hofu ya namna hiyoKweli mkuu,hii leo ni trela kesho ndo funga kazi huenda hata simu hazitatoka.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kazi ya kiongozi muovu,na mwendawazimu!Jamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo