unawashaje vpn maana nimewasha nina mtandao wa tigo lakini vpn haiwezi ku connect yani inajaribu bila mafanikio
Okay, thanks.Inatumia .
Hatari sana ndugu, inashangazaTanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Mimi Niko ujerumani[emoji1]Nimepelekwa United Kingdom nakula bata Twitter inafungua mpaka mfupa dadeki [emoji39][emoji39][emoji39]
Serikali dhalimu ndio inaweza fanya hayaKwanini serikali inawafanyia hivi wananchi wake lakin
Download VPN Kwisha kaziLine zangu zote haipatikani
Haipatikani line zote hizoTwitter inapatikana kwa voda na halotel, jaribu tena huenda muda unafungua palikuwa na shida.
Ile kampeni ya kuvunja line za Voda iliishiaga wapi? Nyie watu mna IQ za kukuNi kuwaaadhibu tu kwa kuachana kabisa na huduma zao kwani wamekubali kutumika ili kuficha maovu nchini.
Ndio vizuri ili wale wajinga wachache wajue Magu hafaiKwanini serikali inawafanyia hivi wananchi wake lakin
Tap kwenye Auto
Kama mwaka 2015 mkuu, jamaa sijui ilikuaje.tujiandae Jf kufungwa mda si mrefu
Yani nyie kila kitu ni kujadili tofauti tu, wabongo mna shida kubwa sanaTanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.