Pre GE2025 Kuelekea uchaguzi mkuu, wenye mamlaka wanatukana wananchi. Case study Chalamila

Pre GE2025 Kuelekea uchaguzi mkuu, wenye mamlaka wanatukana wananchi. Case study Chalamila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Haya mambo ya kiwaki hawapaswi kuchukuliwa poa wazee. Mtu Gani anatukana wananchi ambao wanalipa Kodi na ndiyo nguzo ya taifa lolote. Hivi huyu chalamila anavuta bangi? Au ana matatizo Gani ya kiakili huyu mtu?

Unamtukana mama mjamzito bila sababu ya msingi? Kweli? Huu ni utopolo mkubwa mazee haifati kabisa kumuacha huyu mtu akitumia government expenditures.

Hii ni laana kwa taifa kuendelea kuwakumbatia Hawa mafisadi waliokula wakashiba wakaanza kuwatukana wapishi.

Pia soma > RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
 
Nilikuwa sijaiona ile video, hv huyo kichaa inakuaje mpaka muda huu yupo kwenye ofisi ya umma?
 
Nimechukia zaidi ile kauli yake ya kuwaambia wauza uduvi wataolewa,ni matusi makubwa sana!
Ujivuni wote ni kwa sababu tu ya wizi na dhuluma wanazowafanyia wananchi kupitia madaraka yao.
 
Back
Top Bottom