Kuelekea Ujamaa Mamboleo - Toward Neo-Socialism

Tabia za kizungu ndio zikoje hizo? Toa mifano ndio nitakupa jibu la uhakika

Unless unawazungumzia akina dada wanaojichubua ili wawe weupe kama wazungu na kuchoma nywele zao ili zinyooke kama za wazungu....

Inasemekana baadhi ya tabia za kizungu ni:

1. Kujali kazi kuliko utu
2. Kujali muda kuliko watu
3. Kujali faida kuliko ndugu
4. Kujali upekee kuliko udugu
5. Kujali umimi kuliko ubinadamu
 
Inasemekana baadhi ya tabia za kizungu ni:

1. Kujali kazi kuliko utu
2. Kujali muda kuliko watu
3. Kujali faida kuliko ndugu
4. Kujali upekee kuliko udugu
5. Kujali umimi kuliko ubinadamu

"Inasemekana" na nani?
 

Companero:

Hizo historia nyingine ndizo zinatupa visingizio vya sisi kutojaribu kwa sababu tuna watu wa kuwapa lawama.

My Great great grandmother alichukuliwa utumwani kwa zaidi ya miaka minne wakati wahehe walipokuwa wana-terrorize makabila mengine. Na zilitolewa ransom hili kumkomboa.

Wakati wajerumani wanakuja Chifu wetu Mangungu ali-side na wajeruman kwa sababu mifarakano na wahehe.

Hivyo sababu kubwa ya kufanikiwa kwa utumwa ni willingness ya baadhi ya powerful African empires kushiriki.
 

Wazungu ni gundi ya taifa kule Sauzi (period). Katika dhana ya maendeleo domination ya ethinicity yenye uwezo wa ku-set agenda za kuleta maendeleo ni kitu muhimu.

Ukienda uingereza kuna waingereza. Ukienda Ujerumani kuna wajerumani. Ukienda Korea kuna wakorea. Ukienda Nigeria N/A, ukienda Tanzania N/A.

Fikra-jamii ambayo DK Bundala anaitafuta hiko kwenye ethnic group ambayo inaweza ku-dominate agendas. Huwezi kuwa na vikabila vilivyokuwa fragmented na kutegemea moja linyanyuke na kuset agenda. Watakachofanya ni kugombea mgao wa mapato.
 
Nani anaweza kunitajia counterparts wa Kiafrika wa Johannes Kepler, Galileo Galilei, Archimedes, Charles Darwin, Alfred Noble, Louis Pasteur, Alexander Fleming, Isaac Newton, Stephen Hawking, Albert Einstein, Thomas Edison....
 
Socialism has no proven record other than resulting in the formation of draconian state.. The best thing is probably a unified model.. Each end of the spectrum carries the grave risk of falling off.. 1989..(Communism)..2009 (Capitalism) Both R.I.P
 
Socialism has no proven record other than resulting in the formation of draconian state.. The best thing is probably a unified model.. Each end of the spectrum carries the grave risk of falling off.. 1989..(Communism)..2009 (Capitalism) Both R.I.P

Ujamaa Mamboleo is a unified model we are proposing here
 
That is not true NN. Evolutionist wanaamini kua🙁nilisoma 7 years ago 1st year uni kwaio details sikumbuki vizuri ila natatafuta niziweke hapa, but in brief....)
1.We all came from this massive blob eons of years ago
2. As time passed different organisms evolved from this blob (imagine branches from a tree)
3. on this certain branch ndio primates wakatokea
4 Then inagawanyika zaidi kuwa sub branches zingine ambazo hapo kuna primates wanao evolve kua binadamu na kuna primates wengine wanabaki kua nyani with minimum evolving

Kwahio sio kweli kwamba wanaamini nyani wasasa hivi hatuwaoni wakibadilika kwasababu it takes millions of years. HAPANA! Hio chain wa nyani tuwaonao sasa ni tofauti na ya kwetu lakini ili branch off kwa source moja. Ina evolve in other ways kama sisi tunavyo evolve inother ways and at different speeds.
Now where are my biology notes....!
 

Period? Mbona unakua absolutist? Inakuwa gundi kivipi? Nani kakuambia wana-set agenda? Nitajie mkaburu au mbritoni yoyote wa Kisauzi anaye-set agenda huko Sauzi - nani: Hellen Zille? Ajenda za Sauzi zinakuwa set na Tripartite Alliance (SACP, ANC na COSATU) kwa shinikizo la BEE na MNC/TNC zinazomilikiwa na Mabeberu kama vile agenda zetu hapa zinavyokuwa set na Tripartite Alliance (PARTY STATE, BUSINESS ELITES na MEDIA MOGULS) kwa shinikizo la MNC/TNC na IFIs/DP hasa WB/IMF!
 

Kwa hiyo Waafrika ni chain mojawapo iliyobranch off na ni tofauti na Wazungu ambao ni chain nyingine iliyobranch off kivyake? Au sisi Waafrika tunaevolve kuelekea kuwa wazungu na watu kama Ngabu wameshakuwa Evolue? Sasa hizi nadharia za evolution zinasaidiaje kuelezea madai kuwa Jamii za Kiafrika zina asili ya Ujamaa na za Kijamaa zina asili ya Kibepari?
 

Huyo naye ndio kachanganya mambo kabisa. Kwa kifupi mimi huo utumbo wa evolution huko huko...siuamini hata kidogo!
 

Wewe huiingizi hata kidole cha mguu kwa hao magwiji niliowataja. Kama unadhani una belong kwenye league moja na wao endelea kujidanganya tu ila ujue ndio moja ya dalili za kudata hizo...Lol. Halafu Erasto who? Na Kinjekitile my where the sun don't shine!

African Americans wengi sana wamechanganya damu kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana baadhi ya hao inventors kurithi genes za ubunifu kutoka wa wazungu.
 

Unatumia vigezo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…