Mkiambiwa ukweli mnakataa ...wewe ni mmoja wa watu wanao livunia taifa dhambiWewe ndio unatembea na mikoba ya bulaya basi mpelekee taarifa kuwa 2020 atafute kwaya ya kuimbia ,ubunge umefika mwisho licha ya Uzi huu wa uongo na kusadikika
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Lema alitoa tetesi juu ya ndoto yake alikaa mahabusu miezi 3 msituvurugie ChamaHizi ni tetesi brother siyo official. Huijui Manchester United wewe linapokuja suala la usajili wanahusishwa na kila mchezaji hadi Boniphace Maganga.
Kuna jimbo ulilitaka na umeona mtu kajatwa? Ndoto lini ikawa tetesi mbona unajidhalilisha.Lema alitoa tetesi juu ya ndoto yake alikaa mahabusu miezi 3 msituvurugie Chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa ManyaraMbona umesahau Simanjiro?Nagombea mie mwenyewe kitukuu cha BABU.[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika historia yake ya kisiasa hilo sikuambiwa bali niliambiwa tu kuwa alikuwa;Kizazi hiki ni wachunguzi and wanafuatilia every tiny details, huyu si ndie aliyetumwa na bwamkubwa kugombea uraisi TLS?
Kama ndiye then wananchi watajua kuwa atachaguliwa na bwamkubwa na kutakuwa hamna uchaguzi, kama kilichotokea kwenye chaguzi za Serikali za mitaa ambapo mtu mmoja tuu ndie alipiga kura nchi nzima,Bwamkubwa na wana nchi woote waligeuzwa mataahila!
Mimi nimeleta maoni ya wananchi wa jimbo ninalotoka kuwa wanamtaka bwana Mwangomango sasa kumshutumu yule bwana kwamba anatumia jina langu unakosea mkuuUtukufu Mwanjisi ndiye Good luck Mwangomango. Usituchoshe kutujazia maandishi hapa kujifanya ni watu 2. Na kikubwa unajiharibia kuandika humu. Kama unataka kugombea ubunge wa Rungwe subiri ratiba ya CCM. Ila hujawiva kwa kutumia njia hii ya kufungua IDs mbili na kujifanya Mwanjisi na Mwangomango ni watu 2 tofauti.
Mfuate Goodluck Mwangomango kamuambie nyumbani kwake, acha kupoteza muda wa Great thinkers. Eti wananchi, wananchi gani wakati umelete maoni ya familia yako?Mimi nimeleta maoni ya wananchi wa jimbo ninalotoka kuwa wanamtaka bwana Mwangomango sasa kumshutumu yule bwana kwamba anatumia jina langu unakosea mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeweka namba yangu hapo juu ili akiona uzi huu nimpe salamu zake maana namba ya simu waliyonipa simpati mkuu.Mfuate Goodluck Mwangomango kamuambie nyumbani kwake, acha kupoteza muda wa Great thinkers. Eti wananchi, wananchi gani wakati umelete maoni ya familia yako?
Yeye ukoo wa mwangomango mimi ukoo wa mwanjisi hata undugu hatuna sema nimepewa salamu zake na wana rungwe kwa hiyo nahitajika nimfikishie tu...mjumbe hauwawiMbona mnafanana sura?.nduguye ama Campaign Manager?.lol