Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,612
Kizazi hiki ni wachunguzi and wanafuatilia every tiny details, huyu si ndie aliyetumwa na bwamkubwa kugombea uraisi TLS?
Kama ndiye then wananchi watajua kuwa atachaguliwa na bwamkubwa na kutakuwa hamna uchaguzi, kama kilichotokea kwenye chaguzi za Serikali za mitaa ambapo mtu mmoja tuu ndie alipiga kura nchi nzima,Bwamkubwa na wana nchi woote waligeuzwa mataahila!
Kama ndiye then wananchi watajua kuwa atachaguliwa na bwamkubwa na kutakuwa hamna uchaguzi, kama kilichotokea kwenye chaguzi za Serikali za mitaa ambapo mtu mmoja tuu ndie alipiga kura nchi nzima,Bwamkubwa na wana nchi woote waligeuzwa mataahila!