muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Masahihisho; Mh. Mwakipesile alitoka 2000 na sio 1995 . Hata hivyo hoja yako mkuu ina mashiko ,,,,tunahitaji mabadiriko jimboni kwetu tupate viongozi vijana ambao wanaweza kuibadirisha sura ya kyela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mngeenda kwanza kulia na Lukuvi na kibajaji,wananchi wao wanakunywa maji ya kufukua na wanakunywa wao,ng'ombe na fisi
Mngeenda kwanza kulia na Lukuvi na kibajaji,wananchi wao wanakunywa maji ya kufukua na wanakunywa wao,ng'ombe na fisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pure qualifications za wasiojulikana!! Hafai Hata robo ndio wanaoiharibu nchi hao, wanajua wao ndio wapigakura halali, wanateua wabunge na kuiozesha nchi!Katika historia yake ya kisiasa hilo sikuambiwa bali niliambiwa tu kuwa alikuwa;
HP olevel
Spika wa bunge UDSM
Rais wa Law School of Tanzania intake 2015
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko WFP ofisi gani?kuna jamaa yupo wfp angewafaaa sana ni mtu smart sana na ana vision ila anaonekana hana interest na siasa
Nimecheka kwa dharau sana ! Loli mwe bhajanga mumenye fijo ukhutukenya amahelu twe bha mwa kyela !
Wewe wasema!……...…,,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji7]Hahaha, Mkuu hebu funguka kidogo basi. SAVIMBI alikua ana - "CLICK" huyo mdada anayejiita WAKUDADAVUA, sivyo?
kwahiyo mama atarudi tena..? lakini umri na kasi kama vinamtupa mkonomama
Namba 5 hapo weka mimi!Jimbo La Kigoma Kusini CCM:
1. Hasna Mwilima
2. Kafulila David
3. Mwanamvua Mlindoko, DC Uvinza.
4. Kifu Gulam Hussein
5.
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea yeye anajionaje kama anafit bado aendelee tukwahiyo mama atarudi tena..? lakini umri na kasi kama vinamtupa mkono
Umefanya Jambo la maana Sana kumtag mwigulu vinginevyo angesema hajaiona hii madaMhe. Mwigulu Nchemba amekuwa akituhubiria kila siku TUJIAJIRI...nadhani sasa anatakiwa kuonyesha kwa vitendo dhana ya KUJIAJIRI baada ya kupigwa chini Ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona una dalili za kuchafua watu aisee...Jamaa hawez kuwa na tabia hizo sema kabarikiwa sana kuwa kiongoziPure qualifications za wasiojulikana!! Hafai Hata robo ndio wanaoiharibu nchi hao, wanajua wao ndio wapigakura halali, wanateua wabunge na kuiozesha nchi!
Ngoja tuwaone, walishaonywa siku nyingi waache tamaa.Hao wakuu wa mikoa waambie mimi na Magu huwa hatupendi ujinga watakosa vyote! Wakamwulize Mwananzila tulichomfanyia,, tulishampoteza kwenye siasa!
ila nasikia wamemchoka, watu wanadai jimbo haliwezi kuongozwa na familiainategemea yeye anajionaje kama anafit bado aendelee tu