kukosekana kwa kiongozi msomi Wa kiwango cha daktari mbeya mjini kwa muongo mmoja sasa kumeifanya kudorora kiuchumi na kimaendeleo, hivyo wanaMbeya tunasema Tulia anatosha
Tulia atulie tu Mbeya tunatembea na SUGU.Mbeya mjini_Tulia Ackson (CCM),Joseph Mbilinyi (CHADEMA).
Soma ulichoniquote na nilichoandika.Umemuona wapi kati ya hizo sehemu ulizoainisha.
Ha haha! Wapi Wakudadavuwa ? Enzi hizo hasikii wala haoni, chuma kinapiga gwanda. Hapo alisahau tuu baret toka China.View attachment 1313828
Those were the days
Umeuliza swali au uliandika hoja?Soma ulichoniquote na nilichoandika.
Wewe huwezi tofautisha "question" na "statement"?Soma ulichoniquote na nilichoandika.
Malizia basi kwa kusema unaishi Bunda! Maana wewe kila mahali upo nadhani utakuwa jini Maimuna ?Wewe ndio unatembea na mikoba ya bulaya basi mpelekee taarifa kuwa 2020 atafute kwaya ya kuimbia ,ubunge umefika mwisho licha ya Uzi huu wa uongo na kusadikika
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mimi ndio Goodluck Mwangomango si ndio? Mimi nimemfikishia ujumbe nilioukuta kule kwamba wananchi wanamuhitaji aende akawakomboeKitendo chako cha kujitangaza kabla ya utaratibu Wa vikao kufuatwa linatafsiriwa kuanza kampeni kabla ya wakati. Naamini ulikuwa na nia nzuri ya kuwa mbunge lakini kosa kubwa ulilofanya ni kuanza kampeni kabla
Inaonekana huyu bwana unamfahamu vizuri mkuu, mwambie nina shida nae nimfikishie ujumbe wakeWakili Msomi Mwangomango, mwana maendeleo wa kweli, kijana mchapakazi, msomi, mtu mwenye misimamo, hakika wana Rungwe watakuwa wamepata mwakilishi wa kweli.
Nitumie MB zangu kumshauri afikirie kuchukua fomu kama bado hajafikiria, wakati ni sasa.
Naiona Rungwe mpya
Sent using Jamii Forums mobile app